Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Kwako wewe raia mpumbavu ila kwenye korido za majengo ya ulinzi na usalama wa nchi wanamtambua.Si kwa lolote hana legaccy yyte.
Tutamkumbuka JPM kwa mengi basii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako wewe raia mpumbavu ila kwenye korido za majengo ya ulinzi na usalama wa nchi wanamtambua.Si kwa lolote hana legaccy yyte.
Tutamkumbuka JPM kwa mengi basii
Hawako related kabisaKuwa ni ndugu yake Jakaya
Alifanaya ujasusi ganiNinachojua wabongo tunapenda Sana kuchafuana ila
Membe kwa kazi za ujasusi alizozifanya kwa taifa ili hapaswi kupewa vijembe kama watu wanavyofanya.
Mtu unalala, unaamka, unatembea,unakula, unavimbewa, unakunya na kukesha baa, unaona nchi ipo huru unaropoka tu na huelewi wakina nani wanafanya ufanye hayo ...!
Achana na wanasiasa uchwara wengi wa ccm katika watu muhimu taifa limepoteza Basi Ni Mahiga na Membe R.I.P.
Tuache chuki mambo ya kusema mtu wakati una ushahidi!! Pesa za libya zilikuwa pesa ndogo Sana hazifiki hata bilioni 10 na ziliibiwa kwa ajiri ya uchaguzi wa ccm sio Membe aliyeiba izo pesa!!!
Fanyeni siasa zenu lakini mtu kama alifanya mazuri mpeni maua yake!!
Kwangu mimi Membe simdai katuokoa na mambo mengi Sana kama taifa tungekuwa tunajuta sasahivi kuwa na madicteta uchwara, Rais fisadi Lowassa, vyama uchwara vya upinzani kushika dola.
Kosa lake kubwa ni kutaka kuwa rais wakati ni mtumishi wa idara hii tu ndio imemponza maana ni mwiko mtumishi wa idara kuwa Namba moja!!!
Rest in peace Membe!!
🤣🤣🤣🤣Sasa mkuu yaani na wewe ulitaka ule pesa za libya...Huwezi jua labda na yeye aliliwa,,,,maana waarabu hawatoi pesa bure...Afu nani alikuambia watanzania walikua na shida na pesa za waarabu wa libya???
Wakuu hii scandal ilikuaje? Kama pana thread humu inayoelezea vzr anisaidie linkKula pesa za Libya.
Huyo JPM utamkumbuka mwenyewe. Wacha kutuhusisha wengine.Si kwa lolote hana legaccy yyte.
Tutamkumbuka JPM kwa mengi basii
Unacheeeka🤣🤣🤣🤣
Hilo ndilo jambo la msingi.Alipinga udikteta wa KIONGOZI asiyefaa na alishinda kesi dhidi ya wapumbafu waliomchafua bila ushahidi
Kukataa uonevu,Membe ni kama Kipanga aliyempiga mkoloni,ashukururiwe kwa kumwadibisha Magufuri.Kwa kawaida Hawa watu walioshika nyanja za juu za uongozi na wakagombea urais Huwa Wana miguso katika jamii.
Sasa Uzi huu utakuwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Membe.
Kati ya Mambo yanayokumbukwa kwa ajili ya Mh.. Membe kutoka kwa jamii ni kama haya hapa.
1. Kula pesa za Libya.
2. Kusimamia misimamo yake wakati wote.
3. Kutataa kumsamehe Msibani waziwazi siku chache kabla ya kifo.
4. Waziri ambae hakuhusishwa na ufisadi wa Moja kwa Moja kutokana na majukumu yake hapa nchini.
N k.
Kwa ujumla alikuwa ni kiongozi anayejitambua,mzalendo,mkweli mchapakazi ,mwadilifu,mwaminifu ,mwenye hekima na Wala hakuwa muoga pindi anapopitia magumu.nakumbuka Kuna siku alisema (ni heri nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nikiwa nimepiga magoti).mwisho wa kunukuu.Kwa kawaida Hawa watu walioshika nyanja za juu za uongozi na wakagombea urais Huwa Wana miguso katika jamii.
Sasa Uzi huu utakuwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Membe.
Kati ya Mambo yanayokumbukwa kwa ajili ya Mh.. Membe kutoka kwa jamii ni kama haya hapa.
1. Kula pesa za Libya.
2. Kusimamia misimamo yake wakati wote.
3. Kutataa kumsamehe Msibani waziwazi siku chache kabla ya kifo.
4. Waziri ambae hakuhusishwa na ufisadi wa Moja kwa Moja kutokana na majukumu yake hapa nchini.
N k.
Kwa kuwa na maadui 11 watajaihama nchiKwa kawaida Hawa watu walioshika nyanja za juu za uongozi na wakagombea urais Huwa Wana miguso katika jamii.
Sasa Uzi huu utakuwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Membe.
Kati ya Mambo yanayokumbukwa kwa ajili ya Mh.. Membe kutoka kwa jamii ni kama haya hapa.
1. Kula pesa za Libya.
2. Kusimamia misimamo yake wakati wote.
3. Kutataa kumsamehe Msibani waziwazi siku chache kabla ya kifo.
4. Waziri ambae hakuhusishwa na ufisadi wa Moja kwa Moja kutokana na majukumu yake hapa nchini.
N k.
Huo ndiyo ushujaa.Kwa ujumla alikuwa ni kiongozi anayejitambua,mzalendo,mkweli mchapakazi ,mwadilifu,mwaminifu ,mwenye hekima na Wala hakuwa muoga pindi anapopitia magumu.nakumbuka Kuna siku alisema (ni heri nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nikiwa nimepiga magoti).mwisho wa kunukuu.
Alimnyoosha Kwa lipiKumnyoosha yule roporopo wa JPM