Utamkumbuka Benard Membe kwa lipi?

Utamkumbuka Benard Membe kwa lipi?

I so much respect him. Yapo mengi ya kujivunia juu yake.
Watu munalala, munaamka, munaenda kokote kwa muda wowote bila hofu hamjui kama kuna watu wanakesha kwaajili yenu ili nchi tu iwe salama.
 
Ninachojua wabongo tunapenda Sana kuchafuana ila

Membe kwa kazi za ujasusi alizozifanya kwa taifa ili hapaswi kupewa vijembe kama watu wanavyofanya.

Mtu unalala, unaamka, unatembea,unakula, unavimbewa, unakunya na kukesha baa, unaona nchi ipo huru unaropoka tu na huelewi wakina nani wanafanya ufanye hayo ...!

Achana na wanasiasa uchwara wengi wa ccm katika watu muhimu taifa limepoteza Basi Ni Mahiga na Membe R.I.P.

Tuache chuki mambo ya kusema mtu wakati una ushahidi!! Pesa za libya zilikuwa pesa ndogo Sana hazifiki hata bilioni 10 na ziliibiwa kwa ajiri ya uchaguzi wa ccm sio Membe aliyeiba izo pesa!!!

Fanyeni siasa zenu lakini mtu kama alifanya mazuri mpeni maua yake!!

Kwangu mimi Membe simdai katuokoa na mambo mengi Sana kama taifa tungekuwa tunajuta sasahivi kuwa na madicteta uchwara, Rais fisadi Lowassa, vyama uchwara vya upinzani kushika dola.

Kosa lake kubwa ni kutaka kuwa rais wakati ni mtumishi wa idara hii tu ndio imemponza maana ni mwiko mtumishi wa idara kuwa Namba moja!!!

Rest in peace Membe!!
Alifanaya ujasusi gani
 
Alipinga udikteta wa KIONGOZI asiyefaa na alishinda kesi dhidi ya wapumbafu waliomchafua bila ushahidi
 
Kwa kawaida Hawa watu walioshika nyanja za juu za uongozi na wakagombea urais Huwa Wana miguso katika jamii.

Sasa Uzi huu utakuwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Membe.

Kati ya Mambo yanayokumbukwa kwa ajili ya Mh.. Membe kutoka kwa jamii ni kama haya hapa.

1. Kula pesa za Libya.

2. Kusimamia misimamo yake wakati wote.

3. Kutataa kumsamehe Msibani waziwazi siku chache kabla ya kifo.

4. Waziri ambae hakuhusishwa na ufisadi wa Moja kwa Moja kutokana na majukumu yake hapa nchini.

N k.
Kukataa uonevu,Membe ni kama Kipanga aliyempiga mkoloni,ashukururiwe kwa kumwadibisha Magufuri.
 
Kwa kawaida Hawa watu walioshika nyanja za juu za uongozi na wakagombea urais Huwa Wana miguso katika jamii.

Sasa Uzi huu utakuwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Membe.

Kati ya Mambo yanayokumbukwa kwa ajili ya Mh.. Membe kutoka kwa jamii ni kama haya hapa.

1. Kula pesa za Libya.

2. Kusimamia misimamo yake wakati wote.

3. Kutataa kumsamehe Msibani waziwazi siku chache kabla ya kifo.

4. Waziri ambae hakuhusishwa na ufisadi wa Moja kwa Moja kutokana na majukumu yake hapa nchini.

N k.
Kwa ujumla alikuwa ni kiongozi anayejitambua,mzalendo,mkweli mchapakazi ,mwadilifu,mwaminifu ,mwenye hekima na Wala hakuwa muoga pindi anapopitia magumu.nakumbuka Kuna siku alisema (ni heri nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nikiwa nimepiga magoti).mwisho wa kunukuu.
 
Kwa kawaida Hawa watu walioshika nyanja za juu za uongozi na wakagombea urais Huwa Wana miguso katika jamii.

Sasa Uzi huu utakuwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Membe.

Kati ya Mambo yanayokumbukwa kwa ajili ya Mh.. Membe kutoka kwa jamii ni kama haya hapa.

1. Kula pesa za Libya.

2. Kusimamia misimamo yake wakati wote.

3. Kutataa kumsamehe Msibani waziwazi siku chache kabla ya kifo.

4. Waziri ambae hakuhusishwa na ufisadi wa Moja kwa Moja kutokana na majukumu yake hapa nchini.

N k.
Kwa kuwa na maadui 11 watajaihama nchi
 
Kwa ujumla alikuwa ni kiongozi anayejitambua,mzalendo,mkweli mchapakazi ,mwadilifu,mwaminifu ,mwenye hekima na Wala hakuwa muoga pindi anapopitia magumu.nakumbuka Kuna siku alisema (ni heri nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nikiwa nimepiga magoti).mwisho wa kunukuu.
Huo ndiyo ushujaa.
 
Back
Top Bottom