Ahsante kwa ushauri,hivi itatosha kupata till number na mtaji?
Kweli wazaramo wengi hamna akili.***** zako haya kaseme kwa mods.
Chuo UDSM Kuna dada alikua Anauza ubuyu na karabga za mayai
weka hadharani unataka kumtapeli mwenzio huko pm
mwambie hakuna biashara nzuri na yenye faida hapa mjini kama kuuza mwili wake kwa mapedeshee...muhimu haitumie hiyo laki 7 kwa kununua pamba kali na kujipoga sop sop lazima ajipatie mapeshee kwa bei ya faida ya kutosha kabisa
mwambie hakuna biashara nzuri na yenye faida hapa mjini kama kuuza mwili wake kwa mapedeshee...muhimu haitumie hiyo laki 7 kwa kununua pamba kali na kujipoga sop sop lazima ajipatie mapeshee kwa bei ya faida ya kutosha kabisa
Manina zao,wanajua kucheza bao na kula wali midume mizima so akili ya kufikiri hawanaga!mxiuuuuuuuuuuu zake,mfyuuiuuuuuuuuu kabisa,huu ushauri angewapa dada zake unawafaa!
mwambie hakuna biashara nzuri na yenye faida hapa mjini kama kuuza mwili wake kwa mapedeshee...muhimu haitumie hiyo laki 7 kwa kununua pamba kali na kujipoga sop sop lazima ajipatie mapeshee kwa bei ya faida ya kutosha kabisa
Pole mdogo wangu, mimi pia sijatoka familia yenye kipati kikubwa ba nilikuwa sipati mkopo nilipokuwa chuo na sikuwa nauza mwili wangu na maisha yangu yalikuwa mazuri zaidi ya hao walokuwa wanajiuza.
Nilitumia opotunity ipasavyo, nilikopa pesa kidogo kwa rafiki yangu nikaongeza na poket money kidogo nilikuwa nikitumiwa na wazee nyumbani nikawa nnauza vitu vya kike vya urembo na mavazi. Unajua wadada wa chuo wanavyopenda kuvaa, basi nilijifanya ----- nikawa mmachinga mzuri sana na maisha yangu yalisonga vizuuuuuri kama mtoto wa kibosile.
Angalia oppotunity tu ya sehem uliyopo ata kama ni kuuza maandaz ukiona yanafaida piga kazi
mwambie hakuna biashara nzuri na yenye faida hapa mjini kama kuuza mwili wake kwa mapedeshee...muhimu haitumie hiyo laki 7 kwa kununua pamba kali na kujipoga sop sop lazima ajipatie mapeshee kwa bei ya faida ya kutosha kabisa
usim pm atakutongoza why asiweke hadharani hapa...hovyo kabisa wanaume wenzako wanaomba msaada unaziba masikio ila kusikia ni ke unataka aku pm....kama una nia nzuri weka kila kitu hapa...hovyo kabisa
nilikuwa mimi hapa...........