Ponera
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 556
- 87
Ahsante kwa ushauri,hivi itatosha kupata till number na mtaji?
kwa kawaida till huwa zinatolewa bure ila sizani kama ana vigezo vya kupata till maana vigezo ni kitambulisho, tin number ya biashara na leseni ya biashara, mi naweza kumsaidia til ya eatel money kama atahitaji