Utamsaidiaje binti huyu?

Utamsaidiaje binti huyu?

Aende kkoo akanunue Cheni hereni za English gold bei ya jumla chupi za kike auze atapata faida
 
Huo ushaur wa hapo juu sio mbaya sana mazingira ya chuo ivo vitu wadada wanauza sana
 
Usimlinganishe nguruwe na huyo jamaa,aliyemuumba nguruwe alitumia akili na maarifa sana. Kitimoto hakiwezi fanana na huyo jamaa.

jf matusi yanatoka wapi inapoteza maana ya jf tubadilike.
 
mwambie ajaribu ushauli huo alio pewa na ktk hilo ata pata maarifa mengine yanaweza kuboresha hiyo biashara au atapata biashara nyingine.
Biashara inachangamoto so ajitahidi azishinde .
MUNGU AMTANGULIE ATAWEZA
 
Mwambie ajaribu ushauli huo alio pewa na ktk hilo ata pata maarifa mengine yanaweza kuboresha hiyo biashara au atapata biashara nyingine.
Biashara inachangamoto so ajitahidi azishinde .
MUNGU AMTANGULIE ATAWEZA
 
Rweyemamu lol umenikumbusha mbali weye
yaan wewe acha tu sijui ulikuwa wapi bhanaaaa.. huyo boya Rweyemamuu alikuja hapa akamwaga siri ya mtungi.....nkajua hutarudi tena kwa kuwa hukukanusha aliyoyasema.....mdada kwa kwel at ulipagawa na maswag yake ya mbele akakunaniii looooh......
 
Back
Top Bottom