BWANA WANGU
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 337
- 797
Kwako mdau,
Kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza, kutokana na Wimbi kuongezeka la vijana wengi kukosa ajira/kazi. Ni ushauri gani utampa mtu aliye pata ajira leo.
Ushauri uwe ume base kwenye eneo la kazi, kiuchumi na kijamii.
Kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza, kutokana na Wimbi kuongezeka la vijana wengi kukosa ajira/kazi. Ni ushauri gani utampa mtu aliye pata ajira leo.
Ushauri uwe ume base kwenye eneo la kazi, kiuchumi na kijamii.