yaaah!I LOVE THE LADY aiseendio yule mwenye mwanya?....unajua kosa linalifanyikaga kwenye mapenzi ni kutaka ishu iliyo juu, i mean kama mwanamke awe na mtu mwenye pesa, papaa fulani hivi town, na wanaume ndio wachukue hao mabinti wenye majina ndio mambo yanakuwaga mseto mseto hapo, hamuwezi kwenda sambamba kabisa, kila mmoja anajiona yupo juu....kuna wadada/wakaka wapo descent sana sema ndio wanaonekana walokole fulani hivi na nyie mnawataka hao mabinti mcheruko, mtawezea wapi?...mambo yatakuwa vululu tu.
ma-miss nimewashuhudia weengi sana mazee,lakini SILVIA BAHAME was my character.i mean SHE IS TOTALLY IN MY BLOOD!
na sijui kwanini
I LOVE THE CHICK
Nipo dear! kwema kabisa.
vile sikujuaga kama umebadilisha na jina.waitwa BABRA SIKU HIZI! Kweli 2010!
Na mimi nitafutie jina jipya nibatizwe kwa maji mengi.
[/COLOR]
nikikusomaga humu naona vi date vyako vyote vina msukosuko, mnapenda vibinti vya kuuzia navyo sura ndio mana inawa cost, na hapo umeshasema ni visista duu hiyo tosha kukupasua kichwa.....
si kweli,Ndio maana tumekubaliana kwamba beuty is in the eyes of the beholder (or beerholder if you like). By the way, she was the ''easiest going'' Miss Tanzania ever!! I mean ungemtafuta ndoto yako ingetimia, maana hakuwa ''mchoyo''! 🙂
hahahahaaaaa,Mi nataka dem awe kawaida tu
asisomee ma medicine,ma engineering
asomee ARTS,au biashara!i dn't want complications kwenye ndoa.
jof kasema she love that chick.......and he knows why!!!! labda alishaingizwa kwenye takwimu??? inahitaji maelezo zaidi hapaNdio maana tumekubaliana kwamba beuty is in the eyes of the beholder (or beerholder if you like). By the way, she was the ''easiest going'' Miss Tanzania ever!! I mean ungemtafuta ndoto yako ingetimia, maana hakuwa ''mchoyo''! 🙂
Senks! Ngoja niyafanyie kazi mpaka mwisho wa january nitapata zuri zaidi katika hayo matatu.nimefurahi kukuona dearest......
nakuchagulia...MERCY..LOVENESS..FAITH..pendekeza hapo dear.
jof kasema she love that chick.......and he knows why!!!! labda alishaingizwa kwenye takwimu??? inahitaji maelezo zaidi hapa
heheheheh!hahahahaaaaa,
mkuu naona unaanza uchokozi hapo!.
si kweli,
kama ni kweli kwanin walimuabscond na DISCO akiwa mwaka wa tatu?.....na chanzo ilikuwa ni hilo hilo unalolijadili
huyu mimi nilikuwa namuona tu kwa mbali pale mabibo!jof kasema she love that chick.......and he knows why!!!! labda alishaingizwa kwenye takwimu??? inahitaji maelezo zaidi hapa
heheheheh!
kati kati ya mchezo mchuchu anaanza kushuka DESIGN OF STRUCTURES...
Senks! Ngoja niyafanyie kazi mpaka mwisho wa january nitapata zuri zaidi katika hayo matatu.
Am curious! hivi jina lako umebase kwa shades of sin ? mbona mkatili hivyo yule dada hata hufanani naye.au ni nani huyu kakuchagulia hili jina?
kuna zengwe pale la maprof,stukaI thought ali-disco kwa sababu ya kuendekeza starehe na ulevi (!?) Just thinking aloud!
NAH!sijasema hivyo mkuu.....Tehe tehe tehe! Do you mean female engineers are not romantic? And it sounds like you are talking from experience!
heheheeeee, dah!.heheheheh!
kati kati ya mchezo mchuchu anaanza kushuka DESIGN OF STRUCTURES...
duh!, asavali umejisahihisha mwenyewe kwa maana ningeandamana sasa hivi, LOL.NAH!sijasema hivyo mkuu.....
lakini ndivyo inavyokuwa siku zote....!hahahaha.darasa letu lilikuwa na ma-she wawili tu
NAH!sijasema hivyo mkuu.....
lakini ndivyo inavyokuwa
siku zote....!hahahaha.darasa letu lilikuwa na ma-she wawili tu