uko sahihi mkuu!,
mai waifu aliniambia aliwai kwenda disko two times only in the 4 years she spent there!!, tena hiyo mara ya mwisho alikua anaona muda hauendi kabisaaaa!, akili yote ilikua kwenye Dynamics of Structures na Numerical Methods in Structural Engineering
thats make two of us bra!!I am not an engineer! But Engineering, especially structural engineering seems to be an interesting discipline to me. Napenda sana kuangalia documentaries kwenye National Geographic Channel. Programs kama, Seconds from Disaster, Mega Structures na Big, Bigger, Biggest huwa vinanifurahisha sana!
thats make two of us bra!!I am not an engineer! But Engineering, especially structural engineering seems to be an interesting discipline to me. Napenda sana kuangalia documentaries kwenye National Geographic Channel. Programs kama, Seconds from Disaster, Mega Structures na Big, Bigger, Biggest huwa vinanifurahisha sana!
kazi zote atafanya mtoto wangu wa kike, lakini sio SEKRETARI!!.
hawa ndio tunaodumisha nao mila huku maofisini, just imajini mwanao anadumisha mila na jitu kama babu yake, LOH.
thats make two of us bra!!
lakini mainjiniaring ya mazingira ni balaa nayo.......kukalculate direction ya moshi kwenye kiwanda, kuestimate urefu wa bomba la moshi, ku-design management system ya waste.... dy/dx ya parcels of air....wala sio interestig kabisa!! wala sijui nani aliyagundua haya makitu
kwa ladies IT IS NOT WORTH STUDYING IT!...Mmh! Taratibu mkubwa, hiyo ni kazi inawapa wangu chakula chao cha kila siku. Usiibeze!
Yeah! Naona hali ya hewa inahamasisha ngono zembe!
mtoto anasomea mambo ya kawaida,ili awe bize na wewe!
anasomea vitu vya T.I.A,au I.F.M au C.B.E mambo easy yan!....
sio dem anakamua msuli hadi anatoboa ozone layer...!😀
dem anasoma D.I.T si atakuua kwa mawazo???
hehehehehe!Hehehe! Mchuchu unapiga nyundo mikono migumu kama mbao! Akikamata baioloji utafikiri unasuguliwa na tupa!
HAHAHAHA!
HAHAHAHA!
hapana mkuu mimi nawatetea
wahandisi hawana muda na kompyuta
hawa nadhani wanafanya kazi benk
hehehe!Hahaha! Usinichekeshe! Hujasikia kuna wahandisi wa kompyuta siku hizi?
HAO SAWA!we kijana......mainjinia wa mazingira unawajua wewe!! wanatengeneza madampo na vitu vinavyofananna hivyo
do i smell nyamayao here? mmmh kweli alisuggest hiyo name kafikiria maana limekubalika kabisa?