Utamshobokea yupi kati ya hawa?


Ngojeni kwanza nikareview Principles za Thermodynamics! Mnanichanganya tu hapa!
 
kazi zote atafanya mtoto wangu wa kike, lakini sio SEKRETARI!!.
hawa ndio tunaodumisha nao mila huku maofisini, just imajini mwanao anadumisha mila na jitu kama babu yake, LOH.
 
thats make two of us bra!!
lakini mainjiniaring ya mazingira ni balaa nayo.......kukalculate direction ya moshi kwenye kiwanda, kuestimate urefu wa bomba la moshi, ku-design management system ya waste.... dy/dx ya parcels of air....wala sio interestig kabisa!! wala sijui nani aliyagundua haya makitu
 
thats make two of us bra!!
lakini mainjiniaring ya mazingira ni balaa nayo.......kukalculate direction ya moshi kwenye kiwanda, kuestimate urefu wa bomba la moshi, ku-design management system ya waste.... dy/dx ya parcels of air....wala sio interestig kabisa!! wala sijui nani aliyagundua haya makitu
 
kazi zote atafanya mtoto wangu wa kike, lakini sio SEKRETARI!!.
hawa ndio tunaodumisha nao mila huku maofisini, just imajini mwanao anadumisha mila na jitu kama babu yake, LOH.

Mmh! Taratibu mkubwa, hiyo ni kazi inawapa wangu chakula chao cha kila siku. Usiibeze!
 

Yeah! Lakini kwa ujumla wake, sayansi ni very interesting in deed!
 
mara TOM-DANKAN,mara NELKON,mara sijui nini
vurugu tupu
mara kavaa ovaroli,
mara anaenda praktiko
KERO TUPU
 
Mmh! Taratibu mkubwa, hiyo ni kazi inawapa wangu chakula chao cha kila siku. Usiibeze!
kwa ladies IT IS NOT WORTH STUDYING IT!...
kila kitu mwanamke atataka mderaivu!...😀
 
mtoto anasomea mambo ya kawaida,ili awe bize na wewe!
anasomea vitu vya T.I.A,au I.F.M au C.B.E mambo easy yan!....

sio dem anakamua msuli hadi anatoboa ozone layer...!😀
dem anasoma D.I.T si atakuua kwa mawazo???
 
mtoto anasomea mambo ya kawaida,ili awe bize na wewe!
anasomea vitu vya T.I.A,au I.F.M au C.B.E mambo easy yan!....

sio dem anakamua msuli hadi anatoboa ozone layer...!😀
dem anasoma D.I.T si atakuua kwa mawazo???

Hehehe! Mchuchu unapiga nyundo mikono migumu kama mbao! Akikamata baioloji utafikiri unasuguliwa na tupa!
 
mtoto anatakiwa field zake maofisini,mabenki humo....!anakula kipupwe
sio mtoto field saiti anatupwa KIGOMA kuna ujenzi wa barabara.....!nitakufa presha bure
 
HAHAHAHA!
hapana mkuu mimi nawatetea
wahandisi hawana muda na kompyuta
hawa nadhani wanafanya kazi benk

Hahaha! Usinichekeshe! Hujasikia kuna wahandisi wa kompyuta siku hizi?
 
Hahaha! Usinichekeshe! Hujasikia kuna wahandisi wa kompyuta siku hizi?
hehehe!
hao kwangu mimi sio mainjinia.....
samahani kwa atakaeudhika,ni msimamo wangu tu
 
hehehe!
hao kwangu mimi sio mainjinia.....
samahani kwa atakaeudhika,ni msimamo wangu tu
we kijana......mainjinia wa mazingira unawajua wewe!! wanatengeneza madampo na vitu vinavyofananna hivyo
 
we kijana......mainjinia wa mazingira unawajua wewe!! wanatengeneza madampo na vitu vinavyofananna hivyo
HAO SAWA!
mimi nazungumzia mainjinia wa kompyuta
siwakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…