Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Wimbo wa taifa una miaka mingapi na bado unaimbwaMbona mnasikiliza nyimbo za 99
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wimbo wa taifa una miaka mingapi na bado unaimbwaMbona mnasikiliza nyimbo za 99
Nimefanya je kwani, goodnight lala upumzikeNawewe utulie
Ngoja nikupe kionjo kidogo apaa japokuwa sielewi lughaWimbo wa taifa una miaka mingapi na bado unaimbwa
Hahaa 😂 😂 😂Ngoja nikupe kionjo kidogo apaa japokuwa sielewi lugha
KNipe list ya thriller kali mkuu hata 5
Nipe single movie zozote nikatafuteHapo kwenye thriller nimekosekana kidogo
K
Singo muvi angaliaaa knight of the zodiacNipe single movie zozote nikatafute
Upate playlist ya kane brown, maren Morris, ward Thomas nk aloooNtapiga moden country mwanzo mwisho...
Kali sanaaDah Ile Ngoma yake ya PLEASE naweza isikiliza mwaka mzima non stop
Hiyo nyimbo ukianza kufua mpaka unamaliza ndo unasikiaOngeza na dunia haina huruma.
🤣🤣hahah wakuu kwenye comment zote hii ndo nyimbo binafsi ninaifahamu
😂 baada ya kukauka ukiwa unazianua nguo ndio unasikia "Wifi mkubwa alinyanyukaHiyo nyimbo ukianza kufua mpaka unamaliza ndo unasikia
"Niliamua kumwangukia daktari
Hicho ndicho chanzo cha tatizo langu"
Ukizikunja ukaziweka kwa kabati ukasema upike ugali Ile unamaliza kula unamkuta Yuko kwa "Mume wangu akasimama na kuanza kulia kwa uchungu"😂 baada ya kukauka ukiwa unazianua nguo ndio unasikia "Wifi mkubwa alinyanyuka
′Unatuletea usanii hapa
Fanyia kaka yetu huko huko
Sisi ni watoto wa mjini bwana hatutishiwi machozi"
Hii nyimbo ni ndefu 😂Ukizikunja ukaziweka kwa kabati ukasema upike ugali Ile unamaliza kula unamkuta Yuko kwa "Mume wangu akasimama na kuanza kulia kwa uchungu"
😂😂
Umeshajua kwanini nilishangaa right? Nilipoiona hii thread jibu langu lilikuwa hilo ila tu sikusema. Hapo sasa tukiongeza turn me on, nuttin no go so & the likes hiyo safari itakuwa ya moto sana.Bob Marley.
Ova
Bila shaka naja, mchumba.Umeshajua kwanini nilishangaa right? Nilipoiona hii thread jibu langu lilikuwa hilo ila tu sikusema. Hapo sasa tukiongeza turn me on, nuttin no go so & the likes hiyo safari itakuwa ya moto sana.
Bwana b... ujeeeeeee.
Ok ok ok 😂Singo muvi angaliaaa knight of the zodiac
The watchman
Na guardian of the Galaxy