Utamtambuaje muathirika wa UKIMWI kwa kumwangalia?

Sio rahis sana lakini kama ana dalili kuu unaweza tambua mpauko wa ngozi mara nyingi inakuwa haina afya yaani imefubaa sana.
 

Kama vyakula hivyo vinaongeza acidity basi hiyo pH inayosababisha maradhi inabidi iwe ndogo na sio kubwa

Basi sawa
 
Baadhi yao wanatumia dozi utakuta anakitambi kama mjamzito vile wengine wanakuwa na shape hatari wengine wananenepa kuliko kawaida yao
 
Hii ndio sababu uzinzi kwangu ni mwiko. Coz huwezi kujua nani + au - . Na wengine hatuwezi na hatujaribu kutumia condom, ni bora nisifanye kabisa kuliko kuvaa mipira.
 
Ana kitambi na miguu myembamba, ana umbo namba naneeee, ooogh hotatenaeeeiii (kwa sauti ya Mgosi/Mkoloni) hahahaahahaha Mpwa kama umepata mdada/mkaka mzuri endelea nae! Enzi zangu niliacha Mdada mzuri balaa kwa maneno ya watu kuwa ana ngoma, ninavyosema leo hii ni kwamba yupo na ana familia.....
 
Mkuu kigezo cha kuwa na familia ndo kimekuaminisha kuwa hana?😱
 
Njia rahisi naijua kwa wanawake. Muangalie miguu, lazima itakuwa imesinyaa hata kama sehemu zingine kanawiri kias gan. Miguu itakuwa IMESINYAA tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…