[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]Kama kuna kazi, nikila kaya, ninaofanya nao kazi wajiandae! Sichoki kamwe na nafanya mambo kwa usahihi sana.... Kama ni zoezi aisee inakua ni drill kweli kweli.
Haijawai niangusha.
Hahahaaa! a certain pastor told me he is addicted to bible, is that book not sacred?Sacred weed
Jr[emoji769]
Unaidhalilisha bangi mkuu acha mambo hayoNna uncle wng yeye akivuta hua ananunua malori, anajenga maghorofa yake, anafungua na kiwanda.
Kuna siku bana sijui alikua kitu cha wapi akaja na mafundi home kwenye nyumba yao ya urithi wakavunja nyumba yote ili ajenge ghorofa halafu mfukoni alikua na buku mbili mia nane tu.
Maendeleo hayana chama
Haujavuta za Usagara Tanga ww, au za Chuda utaleta mrejesho mwenyewe ila kua makini ukizubaa lzma wakuchanganyie na NgadaAfu ganja za siku hizi hazina stimu kabisa unapiga misumali mpk mi 3 ndio kidogoo unastuka sio kama long back ukipata paf 4 za kijiti kimoja tu mambo mswano, hizi bangi watu wanavuta na mademu zao afu wako poa tu hakuna hata maajabu, enzi hizo ukipigisha mtu pafu kadhaa anaweza kurudi kwao kwa miguu akasahau kituo cha daladala.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haka ni kamtihani kadogo tu ka kiswahili jaza nafasi zilizo achwa wazi kwa kutumia neno
[emoji23][emoji23][emoji23]Haka ni kamtihani kadogo tu ka kiswahili jaza nafasi zilizo achwa wazi kwa kutumia neno
Hapana au Ndio
1.________Mimi ni chizi
2.________huwa natumiaga bangi
3.________Mimi ni punda
4.________nimekufanyia makusudi
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23]ameamka kiali ,anaona dunia kwa jicho la tatu , anaona dunia tofauti na asitumia[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa ilikuponzaKuna siku nilikuwa natoka bukoba naenda Tanga,ENZI hizo gari zinapitia Uganda na Kenya,kufika Nairobi usiku baridi kalii,kupiga misele nikaingia chimbo nikapata ganja! Daah bange ikiamua kukuzingua Ni noma,nilivuta Kwanza nilisikia joto la ajabu halafu niliona kumepambazuka yaani kweupee[emoji23] toka siku ile sikuvuta Tena!!
Sent using Jamii Forums mobile app