Utamu na Faida za Tende kwenye mwili wa binadamu

Utamu na Faida za Tende kwenye mwili wa binadamu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
4849886.jpg

Tende mbali ya utamu wake zina faida nyingi sana mwilini
Je unajua kwamba tende ndio tunda pekee lenye kuupatia mwili vitu vinne kwa wakati mmoja, vitamin, protini, wanga na mafuta?. Mbali na utamu wake tende ambazo hulika sana mwezi wa ramadhan zina faida nyingi sana kwa mwili wa binadamu. Zijue faida zake. Tende ni tunda ambalo linayeyuka kirahisi tumboni na lenye faida nyingi sana ambazo hulifanya liwe tunda la kipee.

Kwa leo tutazielezea baadhi ya faida za tende mwilini:

1- Kwa watu wenye matatizo ya tumbo, nicotinic inayopatikana kwenye tende husaidia kurekebisha matatizo ya tumbo na huleta ahueni kwa watu wenye matatizo ya kupata choo.

2- Tende husaidia kuuimarisha moyo. Iloweke tende kwenye maji kwa usiku mmoja na asubuhi kunywa maji hayo pamoja na tende zilizolewekwa baada ya kuondoa mbegu, ukifanya hivyo mara mbili kwa wiki, moyo wako utakuwa imara.

3- Tende husaidia pia kwenye mambo ya malavi davi. Iloweke tende kwenye maziwa ya mbuzi usiku, asubuhi changanya maziwa hayo na asali kisha kunywa, njia hii husaidia kuongeza nguvu na stamina za kufanya mapenzi.

4- Utafiti umeonyesha kuwa tende husaidia kutanua misuli ya mji wa mimba wakati mwanamke anapokaribia kujifungua, hii husaidia kumfanya mwanamke asipoteze damu nyingi wakati wa kujifungua.

5- Wataalamu wa vyakula, wanazichukulia tende kama chakula bora kwa wanawake wanaonyonyesha kwani husaidia kuyapa maziwa virutubisho muhimu vinavyomfanya mtoto awe na afya njema.

6- Tende husaidia kupunguza kiwango cha kilevi (alcohol) kwenye damu. Maji ya kunywa ambayo tende imelowekwa ndani yake husaidia kuondoa haraka alcohol mwilini.

7 - Tende husaidia kuchelewesha dalili za uzee na pia husaidia kurekebisha ngozi na huondoa mabaka ya kuungua na jua.

8- Kutokana na madini ya chuma kwenye tende, watu wenye upungufu wa damu hupata ahueni.

9- Vitamin B1 na B2 vilivyopo kwenye tende husaidia kuyapa nguvu maini.

10- Tende pia huleta ahueni kwa watu wenye kikohozi na mafua.
Haya Waislam Wanaofunga wakati wa kufuturu kuleni sana Tende.
 
Ama kwa hakika tende ni kiboko aisee! Yaani ni mambo yoote! Mie mwezi huu ninalo boksi kabsa la kilo mbili hilo ni kutafuna tu hadi mwezi uishe na hali kadhalika ntajiwekea utamaduni wa kununua kidogo hata baada ya Mwezi Mtukufu... Akhsante sana Ndugu kwa kutukumbusha na kutufunza jambo la kheri Mola akubariki na akupe umri....
Ramadhan Maqbuul...
 
Zifuatazo Ni Baadhi Ya Faida Za Tende Mwilini:

1. Kwa watu wenye matatizo ya tumbo, nicotinic inayopatikana kwenye tende husaidia kurekebisha matatizo ya tuhmbo na huleta ahueni kwa watu wenye matatizo ya kupata choo.

2. Tende husaidia kuuimarisha moyo. Iloweke tende kwenye maji kwa usiku mmoja na asubuhi kunywa maji hayo pamoja na tende zilizolewekwa baada ya kuondoa mbegu, ukifanya hivyo mara mbili kwa wiki, moyo wako utakuwa imara.

3- Tende husaidia pia kwenye mambo ya mapenzi. Iloweke tende kwenye maziwa ya mbuzi usiku, asubuhi changanya maziwa hayo na asali kisha kunywa, njia hii husaidia kuongeza nguvu na stamina za kufanya mapenzi.

4. Utafiti umeonyesha kuwa tende husaidia kutanua misuli ya mji wa mimba wakati mwanamke anapokaribia kujifungua, hii husaidia kumfanya mwanamke asipoteze damu nyingi wakati wa kujifungua.

5. Wataalamu wa vyakula, wanazichukulia tende kama chakula bora kwa wanawake wanaonyonyesha kwani husaidia kuyapa maziwa virutubisho muhimu vinavyomfanya mtoto awe na afya njema.

6. Tende husaidia kupunguza kiwango cha kilevi (alcohol) kwenye damu. Maji ya kunywa ambayo tende imelowekwa ndani yake husaidia kuondoa haraka alcohol mwilini.

7. Tende husaidia kuchelewesha dalili za uzee na pia husaidia kurekebisha ngozi na huondoa mabaka ya kuungua na jua.

8. Kutokana na madini ya chuma kwenye tende, watu wenye upungufu wa damu hupata ahueni.

9. Vitamin B1 na B2 vilivyopo kwenye tende husaidia kuyapa nguvu maini.

10. Tende pia huleta ahueni kwa watu wenye kikohozi na mafua.
 
Tende ina faida nyingi tena inafaa hata kwa siku za kawaida uwe unakula kila siku japo Tende punje 7 tu zatosha hicho nikiwango kidogo kwa kila siku yafaa uwe unakula hiyo Tende utaona Afya yako inakwenda vizuri. Ukila Tende kilo moja faida yake kama mtu aliye kula nyama ya Ng'ombe kilo moja.
 
Zifuatazo Ni Baadhi Ya Faida Za Tende Mwilini:

1. Kwa watu wenye matatizo ya tumbo, nicotinic inayopatikana kwenye tende husaidia kurekebisha matatizo ya tuhmbo na huleta ahueni kwa watu wenye matatizo ya kupata choo.

2. Tende husaidia kuuimarisha moyo. Iloweke tende kwenye maji kwa usiku mmoja na asubuhi kunywa maji hayo pamoja na tende zilizolewekwa baada ya kuondoa mbegu, ukifanya hivyo mara mbili kwa wiki, moyo wako utakuwa imara.

3- Tende husaidia pia kwenye mambo ya mapenzi. Iloweke tende kwenye maziwa ya mbuzi usiku, asubuhi changanya maziwa hayo na asali kisha kunywa, njia hii husaidia kuongeza nguvu na stamina za kufanya mapenzi.

4. Utafiti umeonyesha kuwa tende husaidia kutanua misuli ya mji wa mimba wakati mwanamke anapokaribia kujifungua, hii husaidia kumfanya mwanamke asipoteze damu nyingi wakati wa kujifungua.

5. Wataalamu wa vyakula, wanazichukulia tende kama chakula bora kwa wanawake wanaonyonyesha kwani husaidia kuyapa maziwa virutubisho muhimu vinavyomfanya mtoto awe na afya njema.

6. Tende husaidia kupunguza kiwango cha kilevi (alcohol) kwenye damu. Maji ya kunywa ambayo tende imelowekwa ndani yake husaidia kuondoa haraka alcohol mwilini.

7. Tende husaidia kuchelewesha dalili za uzee na pia husaidia kurekebisha ngozi na huondoa mabaka ya kuungua na jua.

8. Kutokana na madini ya chuma kwenye tende, watu wenye upungufu wa damu hupata ahueni.

9. Vitamin B1 na B2 vilivyopo kwenye tende husaidia kuyapa nguvu maini.

10. Tende pia huleta ahueni kwa watu wenye kikohozi na mafua.
Asante Mkuu kwa elimu hii ila kwa hapo kwenye red nayapata wapi?
 
zinapatikana wapi kirahisi kwa hapa dar tuanze kuzitumia kwa wingi zaidi kwani................
 
zinapatikana wapi kirahisi kwa hapa dar tuanze kuzitumia kwa wingi zaidi kwani................
Nina uhakika zitashusha soko la zile dawa za ndugu zangu wa kaskazini na wale waganga wa kinaigeria kwa asilimia 70
 
sikujua tende kama ni dili ivi naonaga wanauza barabarani nikafikiri ni usanii tu
 
Tende ni hatari kwa afya binadamu kama zitakuwa zinatumiwa mara kwa mara.tenda zinasababisha ugonjwa wa kisukari,upungufu wa nguvu za kiume na kusababisha mwili na ubongo uchovu.
 
Tende ni hatari kwa afya binadamu kama zitakuwa zinatumiwa mara kwa mara.tenda zinasababisha ugonjwa wa kisukari,upungufu wa nguvu za kiume na kusababisha mwili na ubongo uchovu.
Mbona inakinzana na maada ya hapo juu.Ebu acheni kutuchanganya
 
Zifuatazo Ni Baadhi Ya Faida Za Tende Mwilini:

1. Kwa watu wenye matatizo ya tumbo, nicotinic inayopatikana kwenye tende husaidia kurekebisha matatizo ya tuhmbo na huleta ahueni kwa watu wenye matatizo ya kupata choo.

2. Tende husaidia kuuimarisha moyo. Iloweke tende kwenye maji kwa usiku mmoja na asubuhi kunywa maji hayo pamoja na tende zilizolewekwa baada ya kuondoa mbegu, ukifanya hivyo mara mbili kwa wiki, moyo wako utakuwa imara.

3- Tende husaidia pia kwenye mambo ya mapenzi. Iloweke tende kwenye maziwa ya mbuzi usiku, asubuhi changanya maziwa hayo na asali kisha kunywa, njia hii husaidia kuongeza nguvu na stamina za kufanya mapenzi.

4. Utafiti umeonyesha kuwa tende husaidia kutanua misuli ya mji wa mimba wakati mwanamke anapokaribia kujifungua, hii husaidia kumfanya mwanamke asipoteze damu nyingi wakati wa kujifungua.

5. Wataalamu wa vyakula, wanazichukulia tende kama chakula bora kwa wanawake wanaonyonyesha kwani husaidia kuyapa maziwa virutubisho muhimu vinavyomfanya mtoto awe na afya njema.

6. Tende husaidia kupunguza kiwango cha kilevi (alcohol) kwenye damu. Maji ya kunywa ambayo tende imelowekwa ndani yake husaidia kuondoa haraka alcohol mwilini.

7. Tende husaidia kuchelewesha dalili za uzee na pia husaidia kurekebisha ngozi na huondoa mabaka ya kuungua na jua.

8. Kutokana na madini ya chuma kwenye tende, watu wenye upungufu wa damu hupata ahueni.

9. Vitamin B1 na B2 vilivyopo kwenye tende husaidia kuyapa nguvu maini.

10. Tende pia huleta ahueni kwa watu wenye kikohozi na mafua.

we ni mganga wa kienyeji, au mchawi, kama si hivyo utakuwa jini. usilete uganga wako wa kienyeji hapa. tuloweke tende kwenye maziwa ya mbuzi, kwani maziwa ni ya mbuzi tu...ya kondoo, ya ng'ombe, ya ngamia je? yana tofauti gani?
 
we ni mganga wa kienyeji, au mchawi, kama si hivyo utakuwa jini. usilete uganga wako wa kienyeji hapa. tuloweke tende kwenye maziwa ya mbuzi, kwani maziwa ni ya mbuzi tu...ya kondoo, ya ng'ombe, ya ngamia je? yana tofauti gani?
ona sasa unapewa tiba!.. angalia contents za tende scientifically sure zina virutubisho vinavyosaidia. naona ushaingilia mambo ya mashetani! ... hahaha au unataka kutoa misukule 100 NA WEWE humu JF!:becky::becky: ELIMU KWELI MUHIMU
 
Manufaa haya ni kwa Tende za Uarabuni tu ambazo zimechakatwa (Processed) au hata hizi za kwetu mbivu tu?
 
mbona unatutisha tumfate nani ? halafu maradhi ya kisukari si yanasababishwa na sukari ya artificial si natural mi sijuwi lakini hebu nifahamishe kwa hisani yako
 
Naomba kama kuna daktari anayeweza kuchangia mada hii ajitokeze maana kuna wengine wakishaona kuna masharti kidogo ya kufanya anafirkiri ni mambo ya mashetani.Kweli wazungu wamefanikiwa kukupotosha,mbona ingekuwa ni kutoka ulaya usingeuliza maswali hayo?????
 
Back
Top Bottom