Wadau hata iweje ni zaidi ya nusu mnaosoma hapa mmewahi kutengeneza kachumbari, ni vigumu sana kuimaliza kuitengeneza bila kuionja zen ukaiweka mezan kuisubirisha msosi, nini namaanisha sasa? mimi ni janaume la shoka jeusi ni mdogo wake madingi lakini braza wake makaka, muda sana nilikuwa kwenye mitikisiko ya kimaisha sasa nawish kuwa na rafiki, awe mpenzi afu baaadae aje kuwa mke wangu, mi sio mnafiki kwenye hizo hatua najua lazima ntaomba kumega tu, kwani pia nna tatizo la uroho sana, na possibly ndio jambo hilo la uroho lilinichelewesha hata kuoa, kwasababu nilikuwa napewa vya kwenye ndoa,sina mahela ila nina mipango ya kuja kuzikamata, wanawake wanaohitajika ni toka mikoa ya morogoro, iringa, dodoma, dar, njombe, na mbeya tu.sio kimakabila bali kiukazi,nina nia ya dhati na toka moyoni.
karibuni sana kigezo cha elimu, ni ya kawaida, dini haimati ilimradi ukubali kuja yangu tukija kukubaliana,ila ambao hawajazalishwa watapewa kipaumbele.
karibuni sana kigezo cha elimu, ni ya kawaida, dini haimati ilimradi ukubali kuja yangu tukija kukubaliana,ila ambao hawajazalishwa watapewa kipaumbele.