Utamu wa tikiti ukubwa wake unahusika

mhhh hatari sana.....mizigo....,mzigo ukikaa kwenye pedo Maana Mungu fundi....(in shekhe kipoozeo voice)

 
Last edited by a moderator:
Uzuri wa gari injini mkuu, hata body iwe nzuri namna gani, ila injini kama mbovu inakera, kila siku spana, au kusukuma ndo liwake, ukitaka kupaki basi unavizia kwenye kimteremko ndo unapaki, badala ya kuwa dereva unageuka unakuwa fundi.
 
Nimemkumbuka Best yangu asee mtoto mash Allah
 
Hata hapa Us matikiti yaliyotoka Tanzania hasa Uchagan ni mazuri sana Hata kwa Muonekano tuπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…