Utandawazi kwa viongozi wa nyumba za ibada, mchungaji wangu amenifikirisha sana

Utandawazi kwa viongozi wa nyumba za ibada, mchungaji wangu amenifikirisha sana

Rabonn

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2018
Posts
5,789
Reaction score
11,106
Wadau habar za asubuhi, niwatie moyo katika shughuli zenu za ujenzi wa taifa na wale mlioko kwenye harakati za kutafuta mkate wenu wa kila siku, one day yes mtatoboa tuu, endeleeni kupambana bila kukata tamaa..Kwa waajiriwa pia, usiache kumtumikia kafiri ili upate ujira wako.

Habari hii ni matukio wawili yaliotokea like a month ago kwa kufuatana na yalihusisha mafunzo ya kujengana tuu kiimani kwa njia ya semina. Niweke wazi tu kuwa mimi ni muumini katika makanisa ya kilokole ( sio haya makanisa ya mwendokasi,hapana.Ni haya rasmi ya Assemblies).

Sasa kipindi kile cha pasaka tulikua na semina ya wiki 1 kanisani na iliendeshwa na mchungaji mgeni kutoka mji mwingine kabisaa.Na nilipata fursa ya kuhudhuria kama siku 3 hivi ,J5,Alh na Ijumaa jioni.Ilikua semina nzuri sana.

Sasa bwana katika kufundishana hapa na pale mchungaji akajikuta amegusikia kipengele cha maadili na specifically masuala ya kutazama picha chafu za ngono.😁😁 .Basi katika maelekezo mafupi ya ku discourage utazamaji wa picha hizo na madhara yake KIROHO , mwishoni akauliza:
Mchungaji: "humu ndani ni nani ameshawahi kutazama picha za ngono?, anyooshe mkono juu"

Kanisa: (kimyaaa watu wanatazama chini).Hata mimi sikunyoosha ila nishatazama sana.

Mchungaji: "Jamani mbona kimya, au sijaeleweka, basi ngoja niulize swali lingine.Ni wangapi HAWAJAWAHI kutazama picha za ngono?"


Kanisa: (kimyaaa, hakuna alienyoosha mkono)kwakwel hapa nikashindwa kujizuia nikaangua kicheko maana mchungji alituweza..

Anyway, hilo nalo likapita.Ila kwakwel hata mke wangu hakunyoosha popote pale ingawa nimekuaga na uhakika yeye mambo hajawah kufanya kwa navyomjua..ila pale nikapata kitu flan 😂😂😂😂

TUKIO LILILOFUTA,
Basi bwana, Baada ya week kama 2 hiv kanisa likaandaa semina ya wana ndoa.Hapa ndio nilichoka.Maana honestly, sikuwah kuhudhuria aina hizi za semina japo nimeoa nina 8 years sasa kwenye ndoa.

Kwenye hii semina mambo mengi huwa yananenwa wazi tu bila kufichwa ukizingatia wote ni wanandoa..
Pastor alipokuja kuniua sasa ninpale aliposema," wapendwa naomba msiwe mnafanya yote kama wanavyofanyaga wale kwenye video, wale SIJUI HUWA WANA MAPEPO?" 😆😆😆😆😆

Kichwan nika conclude ohoooo...kumbe Pastor nae hiz mambo anazijua 😂😂😂😂

Nikakumbuka ule msemo kuwa Njia ya Mbinguni ni Nyembamba sana.😎😎

Ikawe heri kwenu...
 
Huwezi kukemea dhambi usiyoijua, hata Yesu alikusanya masela kama wavuvi na watoza ushuru ili waitende kazi yake.
Mkuu kuijua dhambi sio lazima uishiriki.. Hata ukisoma vitabu tu utafahamu kuwa jambo fulani si sawa mbona maandiko yananena wazi.
 
Mimi hapo naona wewe ndo una tatizo mbona pastor kafundisha hali iloyopo wewe ulitaka hakae kimya.

Tatizo watu wengi hamtaki yasemwe hata mambo yenye jamii inafanya kila mara.
Ni kweli mkuu mimi kwangu hii kitu kilikuwa kigeni ndio my first experience... Nikajua wao haya mambo hawamo kabisaa? Inawezekana nilikuwa na mtazamo potofu sana.
 
Halafu kumbuka mchungaji hakuzaliwa mchungaji -alikuwa mtu normal na mtenda dhambi lkn aliaamua kumpa YESU maisha yake then akachukua huduma hiyo.

So hii habari si ngeni ,maana kigoma kuna mchungaji huwa nafahamiana naye na kabla ya huduma ya kichungaji alikuwa "JAMBAZI".

Humans are not perfect.
we are always created to be flexible and adjustable to any environment.

nawasilisha.

#TUSIMPELEKEE MTU IKULU KWA KUANGALIA JINSIA YAKE.
 
Kwa Dunia ya sasa Ponography ni vigumu sana kuzikwepa..unakuta uko mtandaoni unataka ku-download app fulani lakini ghafla unaletewa Add ambayo hujaitafuta wewe lakini inakuja kwenye screen yako....

Au ukiwa unatumia computer unaweza kukuta unaperuzi mitandaoni unashangaa ghafla unakutana na Matangazo na link ambazo hujazitafuta...

Kuna app za Android ambazo zinatumika ku-download files
Mfano

Tubemate
Vidmate nk...
Hizi app huwa zinatuma notifications za ajabu...

Hata kama ni mchungaji zinakuja tuu..kwa hiyo unajikuta umetazama hata kama hutaki.
 
Mkuu kuijua dhambi sio lazima uishiriki..Hata ukisoma vitabu tu utafahamu kuwa jambo fulan si sawa mbona maandiko yananena wazi
Ni nini kimekufanya uwaze kuwa mchungaji kashiriki hizo video na sio kasoma au kasikia tu?
 
Halafu kumbuka mchungaji hakuzaliwa mchungaji -alikuwa mtu normal na mtenda dhambi lkn aliaamua kumpa YESU maisha yake then akachukua huduma hiyo.

So hii habari si ngeni ,maana kigoma kuna mchungaji huwa nafahamiana naye na kabla ya huduma ya kichungaji alikuwa "JAMBAZI".

Humans are not perfect.
we are always created to be flexible and adjustable to any environment.

nawasilisha.

#TUSIMPELEKEE MTU IKULU KWA KUANGALIA JINSIA YAKE.
Sure nimekusoma ila dah..nilibakinhoi kwa kujua peke yangu tu ndio nishawa kutazaman mle ndani kumbe na wapendw wengine wamo 😁
 
Kuna app za Android ambazo zinatumika ku-download files
Mfano

Tubemate
Vidmate nk...
Hizi app huwa zinatuma notifications za ajabu...

Hata kama ni mchungaji zinakuja tuu..kwa hiyo unajikuta umetazama hata kama hutaki.
Kwenye hili naunga mkono..Nimei experience hii kitu kwenye infinix
 
Ni nini kimekufanya uwaze kuwa mchungaji kashiriki hizo video na sio kasoma au kasikia tu?
Pastor alisisitiza tusifanye kama wale wale wanaofanyaga kwenye video..wale wanakua na mapepo ndiomaana wanafanya mpaka isivyopaswa

Sasa hapo kuna kusoma au kusimuliwa kwel mkuu?
 
Sasa pastor si aendee kuwakemea hao wacheza porn hayo mapepo, imagine anakutana john dhambi 😂
 
Hayo makanisa ya mwendokasi ni yapi,acha kujiona upo kwnye sehem sahihi kuliko wengine,kama ulivyoconclude hapo njia ya mbinguni ni nyembamba kwamba hata nyie mnaojifanya mnamjua Mungu kumbe hamtapita
 
Hayo makanisa ya mwendokasi ni yapi,acha kujiona upo kwnye sehem sahihi kuliko wengine,kama ulivyoconclude hapo njia ya mbinguni ni nyembamba kwamba hata nyie mnaojifanya mnamjua Mungu kumbe hamtapita
Sawa mkuu..it is nothing personal.Kama umekwazika pole ila ni vitu vya kawaida tu
 
Back
Top Bottom