Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

Nasimamia nachokiamini.mkubali mkatae ukweli ndo huo.
Na utando huo si fangasi kama muwazavyo, hayo ndo ya ukweli .

Mnapinga mpaka mapovu yanawatoka lakini watoto wa kike wanajua hili.

Kwanini ulete hapa issue ya utando mweupe ikiwa unasimamia unachoamini wewe kaka Zubeda? Bora ungekaa kimya na utando wako mweupe.
 

yaani kaka dah umelenga sana maana hiyo ishu imeniumiza sana kichwa,kwani kila nikipumzika mwezi ama wiki mbili namkuta nazo nikawa nahisi ni mbegu za wengine ila now umenifumbua akili sana
 
mimi nilidhani wewe ni she kumbe ni he!? bty usidanganyike bro unaibiwa! huwo utando unatokana na wale wanaopendelea sana k zao kuzifukizia mara kwa mara mafukizo kama vile udi,ubani na mafukizo mengine kama hayo.
wakati wa mafukizo, ule moshi ukifukiziwa kwa wingi kuna mnyauko fulani hivi hutokea nao pia unasaidia k kuifanya iwe mnato wakati wa seksi ukiachilia mbali na manukato,pia hata kwa wale wenye bonde la mto msimbazi mafukizo yanasaidia kukausha kutokana na lile joto la moshi wake.
 

vipi kuhusu wanawake wanaojichua, je utasema walikua wana do endapo hutakuta huo utando?
 
we mazaa niaje? Mbona unatupiga changa, huo ni 'utoko' mwambie huyo manzi ajifunze kuoga viruzi downstairs.....
 
huo ni UCHAFU KAKA, na kwa kitaalamu huyo dada hajui kuijsafi sababu huo unakuwa ni mlundikano wa uchafu unaokuwa katika CERVIC, na kuna utafiti unaodai huo uchafu mweupe huweza kusababisha cancer kwa wanaume! USHAURI- Mwambie mkeo atafute tishu au kitambaa cheupe na aweze kuwa anajisafi vizuri kwenye hilo eneo bse inaoenekana hana utaalamu wa CERVIC CLEANLINESS
 
Pumba.theory
 
Uchafu unajulikana.na huo c uchafu acha kubashiri.
 
we nyau kweli .. Huo ni uchafu demu wako haogi ama haisafishi Ka yake ndani so wewe unachezea dimbwi la uchafu unadhani kuwa uko salama ..mimi huo utando sitaki awe nao .. Chumvini nitaendaje na miutando hio? Siitaki bakini na slogan zenu
 
we nyau kweli .. Huo ni uchafu demu wako haogi ama haisafishi Ka yake ndani so wewe unachezea dimbwi la uchafu unadhani kuwa uko salama ..mimi huo utando sitaki awe nao .. Chumvini nitaendaje na miutando hio? Siitaki bakini na slogan zenu

Nyau mlio mnyama aitwae paka.duma.na wengne...andka koment sepa si kuonesha kuwa Domo jumba la Maneno.
Uchafu una ujua wewe.
 

Mkunga baba afya
 
pole sana kaka kwa kujidanganya,,hyo yaweza kuwa phsiological disorder.Kumbuka kuwa kwenye uke kuna bacteria wanaosabisha acidity.Kuna wanawake wengine wanaute mdogo hahaasipofanya ngono kwa mud mrefu,mf.kutoka kwenye uzazi bado huo ute ni kidogo.
 
Nasimamia nachokiamini.mkubali mkatae ukweli ndo huo.
Na utando huo si fangasi kama muwazavyo, hayo ndo ya ukweli .

Mnapinga mpaka mapovu yanawatoka lakini watoto wa kike wanajua hili.

zubeda nime ku pm,umesoma?
 
zubeda nime ku pm,umesoma?
Nachokiona hapa ni kitu kidogo sana...hayo mautando ya fangasi si nayoyasema hayo nayajua.
Lakini huo ni ule ambao hutoka mdada akiwa hajasex muda mrefu hata awe msafi vp...hayo unayosema wewe ndo uchavu,Hamna wasichana nyie.
 
pole sana kaka kwa kujidanganya,,hyo yaweza kuwa phsiological disorder.Kumbuka kuwa kwenye uke kuna bacteria wanaosabisha acidity.Kuna wanawake wengine wanaute mdogo hahaasipofanya ngono kwa mud mrefu,mf.kutoka kwenye uzazi bado huo ute ni kidogo.
Nje ya mada wewe.nyie hamna mademu
 
Nzi,
Sina uhakika kama wanayofanya wanyama uliowataja yanafaa kuitwa foreplay.
Mammals wengi (Ndege si mammals na hawana) hawafanyi ngono kwa starehe kama tunavyofanya wanadamu, ndio maana wanadamu wanahitaji foreplay kama maandalizi. Mammals wengine wanafanya pale tu jike linapokuwa tayari kwa uzazi, yaani ovulation ikiwa imetokea. Ukione dume linanusa, huwa linahakikisha tu kwamba jike lipo tayari, na ile harufu anayopata pale ndiyo inaamsha uume wake na shughuli inafanyika kama wajibu, na sio starehe. Ndio maana foreskins zinakuwa na smegma kwa ajili ya kurahisisha penetration. Kwa binadamu tunaona ni uchafu kwa vile tumefikia hatua mpaka ya kunyonyana sehemu kama hizo, aagh!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…