Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

Nasimamia nachokiamini.mkubali mkatae ukweli ndo huo.
Na utando huo si fangasi kama muwazavyo, hayo ndo ya ukweli .

Mnapinga mpaka mapovu yanawatoka lakini watoto wa kike wanajua hili.

Kwanini ulete hapa issue ya utando mweupe ikiwa unasimamia unachoamini wewe kaka Zubeda? Bora ungekaa kimya na utando wako mweupe.
 
Napenda kuuliza kama ni kweli ili nawengine mkalifatilie hili.

utando huo hufanana kama maziwa mgando bt hutofautiana kati ya mwanamke mmoja na mwingine.Utando huo UMENISAIDIA SANA kugundua pale napokaa mda mrefu na girl wangu hatuja SEX siku tunapokutana huwa UTANDO huo hutoka mwingi sana na hiyo hudhihirisha chumba kilikuwa hakitumiwi kilifungwa.

Na ikitokea ndani ya Muda huo Then tunapokutana na UTANDO huo kutoonekana ni Dhahiri Chumba kilikuwa kinatumiwa.Mjomba kipara jicho Moja akizama na atakapotoka hutoka Msafi sana kama alienda kuogeshwa.

Kwa maelezo hayo sasa nyie wenye wake wapenzi mlifatilie hili.Unapokaa mbali na mkeo au Rafiki yako wa kike kama atakuwa hatoki nje ya Mahusiano Lazima hao UTANDO UWAKUTE kwa wingi sana.yani hata mkipotezana week/mwezi.Lakini usipo ona hayo ujue Alikuwa anatoka nje ya mahusiano yenu.

Mytake@Na wewe fatilia mimi nimelifatilia na nimejiridhisha kuwa ni kweli kwa Upande wangu.

UPDATES.
Nawashangaa wanaopoteza muda kuchangia matusi kwenye uzi huu.kama limekugusa sepa tu...Kama una Lolote la kitaalamu zaidi eleza nielewe ila siyo kutukana.
kama huna la kuchangia si lazima uandike huwezi kufa usipoandika.
Sijaleta Uzi huu kutukana Mtu hapa.

yaani kaka dah umelenga sana maana hiyo ishu imeniumiza sana kichwa,kwani kila nikipumzika mwezi ama wiki mbili namkuta nazo nikawa nahisi ni mbegu za wengine ila now umenifumbua akili sana
 
mimi nilidhani wewe ni she kumbe ni he!? bty usidanganyike bro unaibiwa! huwo utando unatokana na wale wanaopendelea sana k zao kuzifukizia mara kwa mara mafukizo kama vile udi,ubani na mafukizo mengine kama hayo.
wakati wa mafukizo, ule moshi ukifukiziwa kwa wingi kuna mnyauko fulani hivi hutokea nao pia unasaidia k kuifanya iwe mnato wakati wa seksi ukiachilia mbali na manukato,pia hata kwa wale wenye bonde la mto msimbazi mafukizo yanasaidia kukausha kutokana na lile joto la moshi wake.
 
Kijana umeeleza vizuri sana lakini nachosema mimi hayo magroup yote huwa hvyo vitu havionekani kama mna du kila siku,kwan kama mna sex daily vagina huwa safi sana na huo ukoko huwa hauji ila kama mkikaa hata one week vagina hudhalisha hzo material,alafu hii cjaiona kwa msichana 1,ni wengi.
Nakubali kuwa maumbile ya kike yapo na sura moja bt utabia wake ndo upo tofauti.
Kama unabisha mwache mkeo one week then Tumia chumba utaona nini kinatokea.

vipi kuhusu wanawake wanaojichua, je utasema walikua wana do endapo hutakuta huo utando?
 
we mazaa niaje? Mbona unatupiga changa, huo ni 'utoko' mwambie huyo manzi ajifunze kuoga viruzi downstairs.....
 
huo ni UCHAFU KAKA, na kwa kitaalamu huyo dada hajui kuijsafi sababu huo unakuwa ni mlundikano wa uchafu unaokuwa katika CERVIC, na kuna utafiti unaodai huo uchafu mweupe huweza kusababisha cancer kwa wanaume! USHAURI- Mwambie mkeo atafute tishu au kitambaa cheupe na aweze kuwa anajisafi vizuri kwenye hilo eneo bse inaoenekana hana utaalamu wa CERVIC CLEANLINESS
 
mimi nilidhani wewe ni she kumbe ni he!? bty usidanganyike bro unaibiwa! huwo utando unatokana na wale wanaopendelea sana k zao kuzifukizia mara kwa mara mafukizo kama vile udi,ubani na mafukizo mengine kama hayo.
wakati wa mafukizo, ule moshi ukifukiziwa kwa wingi kuna mnyauko fulani hivi hutokea nao pia unasaidia k kuifanya iwe mnato wakati wa seksi ukiachilia mbali na manukato,pia hata kwa wale wenye bonde la mto msimbazi mafukizo yanasaidia kukausha kutokana na lile joto la moshi wake.
Pumba.theory
 
huo ni UCHAFU KAKA, na kwa kitaalamu huyo dada hajui kuijsafi sababu huo unakuwa ni mlundikano wa uchafu unaokuwa katika CERVIC, na kuna utafiti unaodai huo uchafu mweupe huweza kusababisha cancer kwa wanaume! USHAURI- Mwambie mkeo atafute tishu au kitambaa cheupe na aweze kuwa anajisafi vizuri kwenye hilo eneo bse inaoenekana hana utaalamu wa CERVIC CLEANLINESS
Uchafu unajulikana.na huo c uchafu acha kubashiri.
 
we nyau kweli .. Huo ni uchafu demu wako haogi ama haisafishi Ka yake ndani so wewe unachezea dimbwi la uchafu unadhani kuwa uko salama ..mimi huo utando sitaki awe nao .. Chumvini nitaendaje na miutando hio? Siitaki bakini na slogan zenu
 
we nyau kweli .. Huo ni uchafu demu wako haogi ama haisafishi Ka yake ndani so wewe unachezea dimbwi la uchafu unadhani kuwa uko salama ..mimi huo utando sitaki awe nao .. Chumvini nitaendaje na miutando hio? Siitaki bakini na slogan zenu

Nyau mlio mnyama aitwae paka.duma.na wengne...andka koment sepa si kuonesha kuwa Domo jumba la Maneno.
Uchafu una ujua wewe.
 
huo ni UCHAFU KAKA, na kwa kitaalamu huyo dada hajui kuijsafi sababu huo unakuwa ni mlundikano wa uchafu unaokuwa katika CERVIC, na kuna utafiti unaodai huo uchafu mweupe huweza kusababisha cancer kwa wanaume! USHAURI- Mwambie mkeo atafute tishu au kitambaa cheupe na aweze kuwa anajisafi vizuri kwenye hilo eneo bse inaoenekana hana utaalamu wa CERVIC CLEANLINESS

Mkunga baba afya
 
pole sana kaka kwa kujidanganya,,hyo yaweza kuwa phsiological disorder.Kumbuka kuwa kwenye uke kuna bacteria wanaosabisha acidity.Kuna wanawake wengine wanaute mdogo hahaasipofanya ngono kwa mud mrefu,mf.kutoka kwenye uzazi bado huo ute ni kidogo.
 
Nasimamia nachokiamini.mkubali mkatae ukweli ndo huo.
Na utando huo si fangasi kama muwazavyo, hayo ndo ya ukweli .

Mnapinga mpaka mapovu yanawatoka lakini watoto wa kike wanajua hili.

zubeda nime ku pm,umesoma?
 
zubeda nime ku pm,umesoma?
Nachokiona hapa ni kitu kidogo sana...hayo mautando ya fangasi si nayoyasema hayo nayajua.
Lakini huo ni ule ambao hutoka mdada akiwa hajasex muda mrefu hata awe msafi vp...hayo unayosema wewe ndo uchavu,Hamna wasichana nyie.
 
pole sana kaka kwa kujidanganya,,hyo yaweza kuwa phsiological disorder.Kumbuka kuwa kwenye uke kuna bacteria wanaosabisha acidity.Kuna wanawake wengine wanaute mdogo hahaasipofanya ngono kwa mud mrefu,mf.kutoka kwenye uzazi bado huo ute ni kidogo.
Nje ya mada wewe.nyie hamna mademu
 
Nanren,other animals don't do foreplay? You are wrong,animals and even birds have ways of stimulating their sexual desires - these are their foreplays.

Hivi uwa huoni beberu likitaka kumpanda mbuzi jike linavyofanya? Hata simba jike akitaka kupandwa uwa anajipitisha na kunukisha 'uke' wake kwa simba dume. Ndege wengi nao utumia njia mbalimbali katika kuamsha hamasa za sexual act,mfano angalia tausi dume anavyofanya na manyoya yake,hiyo ni njia mojawapo ya ku arouse na ku-allure sexual partner. Jamii za ndege zingine utumia sauti zenye milio mbalimbali katika kuamsha na kumvutia mwenza wa sexual act.

Inaweza ikawa si sawa kwa 100% kama binadamu,lakini hizo nazo ni foreplays zao. Pengine cha kutofautisha kidogo ni kwamba wanyama wengine na ndege wanatumia hizo mbinu ili kujamiana kwa lengo la kuzaliana na kuendeleza generation. Lakini binadamu tunatumia foreplays ili kujamiana kwa lengo la leisure kwa muda mwingi.
Nzi,
Sina uhakika kama wanayofanya wanyama uliowataja yanafaa kuitwa foreplay.
Mammals wengi (Ndege si mammals na hawana) hawafanyi ngono kwa starehe kama tunavyofanya wanadamu, ndio maana wanadamu wanahitaji foreplay kama maandalizi. Mammals wengine wanafanya pale tu jike linapokuwa tayari kwa uzazi, yaani ovulation ikiwa imetokea. Ukione dume linanusa, huwa linahakikisha tu kwamba jike lipo tayari, na ile harufu anayopata pale ndiyo inaamsha uume wake na shughuli inafanyika kama wajibu, na sio starehe. Ndio maana foreskins zinakuwa na smegma kwa ajili ya kurahisisha penetration. Kwa binadamu tunaona ni uchafu kwa vile tumefikia hatua mpaka ya kunyonyana sehemu kama hizo, aagh!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom