Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

Teh teh mimi namtetea kwa sababu post yake ni nzuri na inahitaji umakini sana kuijibu, lakini
wamatumbi kama wewe mnakimbilia kwenye jinsia yake, what a shame is that.....

kwa hio wewe unaona sawa dume kuitwa zubeda? au na wewe mcameroon kama yeye?
 
Fakenology.....
uko sahihi kabisa,facts za zubeda ni nzuri na ndo maana nikasema watu hawajibu post kwa facts, halafu wengi humu ni majike dume yanaona hii isue ikiwa proved hapa yataumbuka maana yanakwanguliwa kila siku kabla ya kukutana na wenzi wao.
mimi naamini kuna watu wana ubishi wa kuzaliwa na ndio wengi humu jf.
kwa hii kitu naunga mkono maana mimi mwenyewe nimeshuhudia. kama tukiwa hatujakutana na dada yenu hata kwa mwezi huwa tukisex raundi ya kwanza huwa nikichelewa kujisafisha uume huwa unakauka na kuwa na ungaunga mweupe umetanda kwenyu uume.
shida iliyopo ni kwamba ni wachache tuliobahatika kupata waaminifu na watu hawapend kuambiwa ukweli na ndio kundi kubwa la wachangia mada.
mtoa mada umeona mbali.
 
wote muliochngia katika hiyo "siridi"muko sawa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sio mbaya mme kuitwa zubeda kwani tatizo liko wapi? Mbona mie sioni tatizo hapo? Acha kuwaza cameroon mtoto wa kike
kwa hio wewe unaona sawa dume kuitwa zubeda? au na wewe mcameroon kama yeye?
 
mi nadhani hayo meupe huwa unayamwaga wewe mengi kama hujaduu siku nyingi na unapodu du kila wakati yanapungua au unapodu na wengi. hivyo usipoyaona mautando yako ujue umetoka huko ulikotoka na kuyaacha huko usimsingizie mdada kumbe wewe ndo hivyo tena...
 
wote muliochngia katika hiyo "siridi"muko sawa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
.
Shagiguku
url
 
watu waongo humu ndani,
nachojua hata ukisafisha uke,huwezi ukaumaliza utando wote since sio unatoka wote mara moja kwa mkupuo useme ukisafisha ndio basi,utoko hutoka kidogo kidogo muda wote depending on your cycle.......so to me kusafisha ni sawa ila sio kusema kwamba mtu akikutwa na utoko kama huyo kaka alivyomkuta galfriend wake,basi conclusion ni moja kuwa hajajisafisha huu ni uongo.

Infact nyie mnaosema isafishwe mara kwa mara ndio mtakuwa na hili tatizo la utoko kwa sana since ph inakuwa disturbed na kuproduce vaginal candidiasis........................

Wewe mkaka hio sio sign ya uaminifu na wala hio sio conclusion hajisafishi vizuri,however kama utoko ulikuwa excessive inaweza kuwa sign ni mgonjwa,ila kama kidogo tu ni sawa,healthy human being...

well said
 
That is a gynaecological condition called vaginal candidiasis caused by a fungus called Candida albicans. It is not sexually transmitted. Apart from what has been stated by Zubeda, the condition also presents with genital itching. Easily treatable.

Nothing to do with long sexual abstinance
 
pole zubeda.ni nature ya wanake kwani ni maumbile yao.ila wanawake wengi wameathiliwa na ile dhana ya kwamba uke hujisafisha wenyewe,ni kweli uke hujisafisha wenyewe hali iliyopelekea wanawake wengi kusafisha uke juu juu.huo utando huitwa utoko na hukaa ndani ya uke na huwa unatoka kidogo kidogo.USHAURI WANGU,mwambie mpenzi wako awe anajisafisha kwa kuingiza kidole ukeni pindi anapooga ama kujisaidia.awe na maji ya kutosha ili kila anapoingiza kidole na kutoa uchafu huo asuuze kidole nakisha kukiingiza tena.afanye hivyo mpaka ahakikishe uchafu wote umetoka then ajioshe vizuri walu mara3 kwa cku,kabla hamjakutana namkishamila kufanya mapenzi.hii itamsaidia kwani huo uatando ni kawaida kwa kila mwanamke ila ukikaa sana unaweza kumletea magojwa kama fangas.
 
kama ni reseach basi haijatimia kwani umemutumia Demu wako tu kama kigezo, i want to prove you wrong!
kwanza kabisa namna ya vagina wetting hutofautiana kutoka mwanamke mmoja mpaka mwingine. kwa mfano kuna mwanamke hata mchezeane vipi ana wet kidogo sana! mwingine anawet sana mpaka analowanisha ile underwear yake kama atakuwa kaivaa bado, hata ukimshika tu pale juu unaweza guess hilo, lakini pia kuna anaye wet sana lakini baada tu ya mambo anakauka na yawezekana kwa awamu ya pili ya shughuli ikalazimika kupata extra lubricant, wengine ni mwanzo mwisho, na namna nyingine nyingi tu.

sasa hii ya kwako pia ni namna moja wapo kuna ute mzito na mwepesi, mmoja wapo ni kama uliousema unakuja na ukoko ukoko mwingine unakuja tu kama kamasi au sperm za kiume,hivyo huyo demu wako yupo kwenye hili group la ukoko ukoko! lazima atazitoa tu kila mnapokutana mara chache huweza kutoa laini kama kamasi lakini si kuwa hajafanya tendo hilo.

uchunguzi wako si guaranteed 100% angalia asije kujua mawazo yako atakuibia kinona....SIUNGI MKONO HOJA




Thanx Dume well said
 
mimi ndo maana nawashangaa wanaoingiaga chumvini kwa magelo frendo wao, wanachota magonjwa tupu, looooooooooh!
 
UPDATES.
Nawashangaa wanaopoteza muda kuchangia matusi kwenye uzi huu.kama limekugusa sepa tu...Kama una Lolote la kitaalamu zaidi eleza nielewe ila siyo kutukana.
kama huna la kuchangia si lazima uandike huwezi kufa usipoandika.
Sijaleta Uzi huu kutukana Mtu hapa.

Ni kama ulijua yatayokukuta!
 
Nasimamia nachokiamini.mkubali mkatae ukweli ndo huo.
Na utando huo si fangasi kama muwazavyo, hayo ndo ya ukweli .

Mnapinga mpaka mapovu yanawatoka lakini watoto wa kike wanajua hili.
 
mimi nilijua hii topic inagusa mahusiano moja kwa moja hivyo watabisha kwa nguvu zote.
ila mtoa mada ameongea ukweli mtupu na ukweli cku zote ni maumivu.
kama we ni kidume unafikisha had mwez hamjakutana mchumba halaf mkidu ndo bila utando ujue kuna mawili
kama humsaidii mwenzako basi ujue unasaidiwa na mtu au watu kabisa.
naona wototo wa kike mnajitahd kumkosoa mtoa mada lakini amepiga ikulu. kalibia mnaumbuka na um***ya wenu.
 
mimi nilijua hii topic inagusa mahusiano moja kwa moja hivyo watabisha kwa nguvu zote.
ila mtoa mada ameongea ukweli mtupu na ukweli cku zote ni maumivu.
kama we ni kidume unafikisha had mwez hamjakutana mchumba halaf mkidu ndo bila utando ujue kuna mawili
kama humsaidii mwenzako basi ujue unasaidiwa na mtu au watu kabisa.
naona wototo wa kike mnajitahd kumkosoa mtoa mada lakini amepiga ikulu. kalibia mnaumbuka na um***ya wenu.

wewe ndio huyo huyo zubeda,endelea kuamini upuuzi...unaelekezwa bado unaamini ujinga nyie ndio mnaoua albino kwa kuamini upuuzi.watu wote hao wanavyokuelekeza ni sawa na bure bichwa ziiiiitooooooo kama uji wa mchele khaa....
 
Back
Top Bottom