Una maneno ya kejeli.ni wazi kuwa si mwaminifu wewe na kidume chako kiki gundua itakula kwako
Mbona unatoa mapovu.Limekugusa nini? Ukweli haupingwi kwa maneno ya kejeli..unapingwa kwa hoja.wewe ndio huyo huyo zubeda,endelea kuamini upuuzi...unaelekezwa bado unaamini ujinga nyie ndio mnaoua albino kwa kuamini upuuzi.watu wote hao wanavyokuelekeza ni sawa na bure bichwa ziiiiitooooooo kama uji wa mchele khaa....
huyu gal friend wako sijui kama ni wewe mwenyewe, maana jina na story yenyewe haviendani, ni mgonjwa, suffering from trichomanas vaginalis. achane kujidantanya, nendeni mkapate matibabu. yaani utu uzima huu tuliokua nao tusijue haya miaka yote, wewe toto la juzi ndio unakuja kutufunda hapa.. excuse me...
Mbona unatoa mapovu.Limekugusa nini? Ukweli haupingwi kwa maneno ya kejeli..unapingwa kwa hoja.
utando wa fangasi una harufu,na mwanamke wa namna hyo akido na mwanaume mwenye fangasi mapajani ni balaa si kujikuna huko.
Utando wa kuonyesha chombo hakitumiki huwa ni wa furaha na hauna harufu kama wa fangasi.
huyu gal friend wako sijui kama ni wewe mwenyewe, maana jina na story yenyewe haviendani, ni mgonjwa, suffering from trichomanas vaginalis. achane kujidantanya, nendeni mkapate matibabu. yaani utu uzima huu tuliokua nao tusijue haya miaka yote, wewe toto la juzi ndio unakuja kutufunda hapa.. excuse me...
jestina hiyo njia ndo komesha yenu maana huwa mnajifanya mnazikausha na kuzitia ndimu.
hapo mmekwama ndo maana mnajitahd kupotosha watu
pole wewe google vaginal candidiasis....acha kujichoresha humu,and this is my last post to you....sinaga muda na majitu majinga.:eek2:
Mbona unatoa mapovu.Limekugusa nini? Ukweli haupingwi kwa maneno ya kejeli..unapingwa kwa hoja.
utando wa fangasi una harufu,na mwanamke wa namna hyo akido na mwanaume mwenye fangasi mapajani ni balaa si kujikuna huko.
Utando wa kuonyesha chombo hakitumiki huwa ni wa furaha na hauna harufu kama wa fangasi.
Mbona unatoa mapovu.Limekugusa nini? Ukweli haupingwi kwa maneno ya kejeli..unapingwa kwa hoja.
utando wa fangasi una harufu,na mwanamke wa namna hyo akido na mwanaume mwenye fangasi mapajani ni balaa si kujikuna huko.
Utando wa kuonyesha chombo hakitumiki huwa ni wa furaha na hauna harufu kama wa fangasi.
Ni furaha kwangu kupigwa chenga na biology kuliko kupgwa chenga na ubadhilifu wa ktk nje ya ndoa au mahusiano,endelea kuamini unavyoamini,imani ni kitu cha ajabu ndio maana wengine wanaabudu ng'ombe...mie sikushangai....biology ilikupiga chenga,usinipotezeee muda anti zubeda.
tumia jina la kiume basi kaka
ni uchafu huo mwambie aoge vzr kaka.imekula kwako kama unaamini ktk uchafu kua huibiwi
mmh!!!! kaka ZUBEDA?
Napenda kuuliza kama ni kweli ili nawengine mkalifatilie hili.
utando huo hufanana kama maziwa mgando bt hutofautiana kati ya mwanamke mmoja na mwingine.Utando huo UMENISAIDIA SANA kugundua pale napokaa mda mrefu na girl wangu hatuja SEX siku tunapokutana huwa UTANDO huo hutoka mwingi sana na hiyo hudhihirisha chumba kilikuwa hakitumiwi kilifungwa.
Na ikitokea ndani ya Muda huo Then tunapokutana na UTANDO huo kutoonekana ni Dhahiri Chumba kilikuwa kinatumiwa.Mjomba kipara jicho Moja akizama na atakapotoka hutoka Msafi sana kama alienda kuogeshwa.
Kwa maelezo hayo sasa nyie wenye wake wapenzi mlifatilie hili.Unapokaa mbali na mkeo au Rafiki yako wa kike kama atakuwa hatoki nje ya Mahusiano Lazima hao UTANDO UWAKUTE kwa wingi sana.yani hata mkipotezana week/mwezi.Lakini usipo ona hayo ujue Alikuwa anatoka nje ya mahusiano yenu.
Mytake@Na wewe fatilia mimi nimelifatilia na nimejiridhisha kuwa ni kweli kwa Upande wangu.
UPDATES.
Nawashangaa wanaopoteza muda kuchangia matusi kwenye uzi huu.kama limekugusa sepa tu...Kama una Lolote la kitaalamu zaidi eleza nielewe ila siyo kutukana.
kama huna la kuchangia si lazima uandike huwezi kufa usipoandika.
Sijaleta Uzi huu kutukana Mtu hapa.
we toka umeanza fatilia makubwaUkianza kufatilia haya mambo madogo madogo, yawezekana ukaokota makopo baadae. Watu wanagundua mambo ya maana, wewe unakimbizana na kugundua utando mweupe!Nonsense!