Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
- Thread starter
-
- #61
Kuna mzee mmoja alimwambia mtoto wake nirudishie shahawa yangu iliyokuumba wewe, mtoto jeuri akawa mpole ghafla*DUNIA .... IMEKWISHA. !!!*
Mtoto baada ya kutajirika alimwambia baba yake, "Enhe!
baba nikulipe nini ili tusijuane tena!
"Baba akamjibu, "Nipe mkeo nimnyonye maziwa kama
wewe ulivyomnyonya mke wangu!
" Mtoto, mmmh, "Basi mzee wangu, nilikuwa nakutania tu,
yaishe.
Baba: *" Nyoooooo....."*
*"Ulikuwa unanibipu .... Basi nimekupigia.*
[emoji134]♂ [emoji5][emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Iyo inaitwa nenda urudiKUTESA KWA ZAMU.
JANA
BOY: Bby wangu mambo
GIRL: [emoji106]
BOY: Haya nimekumiss sana bby
GIRL: [emoji120]
BOY: Kuna tatizo lolote mpnz?..
GIRL: [emoji135]
BOY: Huwez kutype bby?
GIRL: [emoji126]
BOY: [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
LEO
GIRL: Bby mambo vp mwenzio nina shida
BOY: [emoji101]
GIRL: Nina shida km ya laki mbili hivi bby
BOY: [emoji15]
GIRL: Jmn bby ndo nini sasa hivo
BOY: [emoji144]
GIRL: Ujue sikuelew bby
BOY: [emoji45]
GIRL: Bby kwn huwez ongea?
BOY: [emoji124]
GIRL: [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]malipo ni hapa hapa duniani..!!
duuuh basi tena , maana hata nami nimewaza kitu cha hivyo nikawa nangojea jibu la mzungu kumbe daaah, mzungu chenga tupu.[emoji71] *Mzungu alisafiri na Mbongo[emoji67]kwenye ndege[emoji574]*
*wakakaa siti moja*
*Mzungu[emoji71]akamdharau�� sana Mbongo*
*nakujiona anajua kila kitu duniani!,*
*Akamwambia Mbongo waulizane maswali*
*na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na*
*endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=*
*Mzungu [emoji71]akauliza ni nchi ipi ilishindwa*
*kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?*
*Mbongo[emoji67] akatoa Jero/ 500 kuashiria hajui.*[emoji19][emoji23]
*Na yeye akamuuliza Mzungu, ni kitu gani*
*kikienda juu kina miguu minne na kikirudi*
*chini kina miguu mitatu?*��
*Mzungu akafikiria[emoji4] akakosa jibu akatoa*
*100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua,*
*akauliza ni nini hicho?*
*Mbongo akatoa Jero/ 500 kuashiria hata yeye*
_hajui!._
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha kweli aiseeeMuda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE....
Wanakuwaga wapole sana aisee unaweza hata kumuagiza maji ya kunywa akakuletea....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nice*Dem: "BABY TANGU TUFANYE MAPENZI MBONA UNIJALI KAMA ZAMANI??"*
*Jamaa akajibu: UMEWAHI KUONA RAIS ANAFANYA KAMPEN WAKATI AMESHINDA?!!*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*HII KALI [emoji23]*
*Mgojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.*
*Daktari: hilo tatizo lilianza lini?*
*Mngojwa:tatizo lipi?*
*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
[emoji51][emoji51]UKITAKA KUJUA AKILI YA MWANAMKE.. Mwambie Dada una nywele nzur wakati kavaa wigi utasikia "Asante".....
Akili zao wanazijua wenyewe!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]