unatukana mkunga na uzazi ungalipo,tulia wakati wako waja.bila shaka, lakini ki ukweli ni kwamba jamaa wa chips mayai wanakaa kubeba magoli kwa kikapu!
Aah wapi sisi Algeria tunawapiga 2_0unatukana mkunga na uzazi ungalipo,tulia wakati wako waja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bila shaka, lakini ki ukweli ni kwamba jamaa wa chips mayai wanakaa kubeba magoli kwa kikapu!
[emoji16][emoji16][emoji16]algeria wakiwa wamelala.Aah wapi sisi Algeria tunawapiga 2_0
Koma siasa wewe. Ikifika ni taifa weka tofauti zako kando 😂Kama timu ikifanyaga vizur wanasema ni juhudi za Serikali ya awamu ya tano basi hata ikifanya vibaya pia waseme vivyo hivyo....
Wana Afrika Mashariki tunaungana kuishabikia timu ya Tanzania dhidi ya Senegal, mambo ya utani na mengine yote tunaweka pembeni, tunawatakia kila la heri, ila siku ikitokea mechi baina ya Tanzania VS Kenya, hapo kila mtu kwao.
Senegal ni hatari lakini mjitie moyo, mpambane, tunawaombea ushindi kwa vyovyote vile.