Hivi Beira wewe sio mwanaume wa Dar kweli?manake wa mikoani hawawezi kumfahamu Drake hata kwa dawa!Wanaume wa dar achen ulaji wa bisukut sio mzur aisee
Hapana mimi sio wa dar si unaona mods wanavyonizingua nao wale si ni wanaume wa darHivi Beira wewe sio mwanaume wa Dar kweli?manake wa mikoani hawawezi kumfahamu Drake hata kwa dawa!
CC bebe rafiki Behaviourist
Kumbuka hata huyo scorpion ni mwanaume wa darWanaume wa dar bhana eti wanamuacha scorpion tena mmoja tu anatoboa mtu macho wao wakila chipsi na mashosti zao magengeni
Yaani wanaume wa dar wanawaogopa wanaume wa dar wenzao? Daaaaaaa! Wanaume wa dar wanatia aibu, huku tarime huyo scorpion angezuiwa na wanawake watatu tuKumbuka hata huyo scorpion ni mwanaume wa dar
HahahahhHapana mimi sio wa dar si unaona mods wanavyonizingua nao wale si ni wanaume wa dar
Nina ugonv mkubwa sana mods kisa tu huwa nawadis wanaume wa dar
Hata kama ww ni mwanaume wa mkoa kwa hyo lugha uliyoandika aiseeee nina wasiwasi sana na wewe.Wanaume wa dar bhana eti wanamuacha scorpion tena mmoja tu anatoboa mtu macho wao wakila chipsi na mashosti zao magengeni
Ahaha niliwai shuhudia kuku ana nyoya za kuhesabika afu wamekaa kikundi km mbuzi wanaochungwa[emoji23][emoji23] unaweza dhani kuku ni walemavu wa miguu au akiliHahaaaa kuku wa week tatu ndo kuku gan hao mkuu? Huu ni utan au ni kweli? Kuku wa week tatu ndo maana hawa watu mdebwedo