Utani wa jad kati ya wanaume wa dar na wa mikoan sijui hata utaisha lini

Utani wa jad kati ya wanaume wa dar na wa mikoan sijui hata utaisha lini

>>Mwanaume wa dar ukiongea naye maneno mawili tu anaanza kulamba midomo.
>>mwanaume wa dar kazi kukaa vibarazani kuchongwa nyusi
>>kazi kukaa na dada zao, kugongana mikono na kusema "haloooo", jomoni, lol, n.k
Hahaaaaa umeshau

MY GOShiiiiiiiii
 
Utaisha pale wanaume wa mikoani watakapohamia dar
Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na Msanii huyo wa Marekani, Omarion na kusababisha shughuli io kuisha mapema na msanii huyo kujawa na Jazba. Fuatilia zaidi

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu


Kuna huu utan kati ya wanaume wa dar na wamikoan

Huu utan ni wa kitambo sana na sijui hata kama utaisha lini..

Lakin wana ume wa dar huwa wanaonekana kuelemewa sana sana

Sijui utaishaga lin huu utan

LONDON BABy
 
Back
Top Bottom