Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaa umeshau>>Mwanaume wa dar ukiongea naye maneno mawili tu anaanza kulamba midomo.
>>mwanaume wa dar kazi kukaa vibarazani kuchongwa nyusi
>>kazi kukaa na dada zao, kugongana mikono na kusema "haloooo", jomoni, lol, n.k
Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na Msanii huyo wa Marekani, Omarion na kusababisha shughuli io kuisha mapema na msanii huyo kujawa na Jazba. Fuatilia zaidi
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kuna huu utan kati ya wanaume wa dar na wamikoan
Huu utan ni wa kitambo sana na sijui hata kama utaisha lini..
Lakin wana ume wa dar huwa wanaonekana kuelemewa sana sana
Sijui utaishaga lin huu utan
LONDON BABy