Utani wa jad kati ya wanaume wa dar na wa mikoan sijui hata utaisha lini

Utani wa jad kati ya wanaume wa dar na wa mikoan sijui hata utaisha lini

Hata kama ww ni mwanaume wa mkoa kwa hyo lugha uliyoandika aiseeee nina wasiwasi sana na wewe.
Mwanaume wa dar kazini, mara nyingi huwa mnakaa na mashosti wezu mkipiga stori kiasi kwamba hata akipita panya tu utasikia mkisema..... ''whaaat the hell, panya anafanya tusikae kwa amani hapa'' [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Lakini kazi zote mnazohangaika nazo mikoani hua mnategemea wanaume wa Dar tutengeneze hela ili mlete mizigo yenu mabibo kkoo tandale na temeke. Uchumi wa Tz 60% unashikiliwa na wanaume wa Dar.

Aisee wanaume wa Dar popote mlipo kamata Pepsi moja nakuja kulipa. Nyie ndo mnaompa Zito Kabwe jeuri ya kuchambua takwimu za uchumi. Achana na wanaume wa Dar banaaaa
Wanaume wa dar bwanaa, basi utawasikia wakisema "Waoooooooo!!!" [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Lakini kazi zote mnazohangaika nazo mikoani hua mnategemea wanaume wa Dar tutengeneze hela ili mlete mizigo yenu mabibo kkoo tandale na temeke. Uchumi wa Tz 60% unashikiliwa na wanaume wa Dar.

Aisee wanaume wa Dar popote mlipo kamata Pepsi moja nakuja kulipa. Nyie ndo mnaompa Zito Kabwe jeuri ya kuchambua takwimu za uchumi. Achana na wanaume wa Dar banaaaa
Ni dar pekeee ambapo mwanaume anamnunulia soda mwanaume mwenzake
 
Wanaume wa dar hawawezi kunawa mikono au miguu yao ...hata kukata kucha hawawezi
 
Back
Top Bottom