Utani wa Kweli: Hivi Jamii Forums haiwezi kugeuka kuwa Chama cha Ukombozi kwenye medani ya Siasa ndani ya Afrika Mashariki na kati kwa Ujumla wake?

Utani wa Kweli: Hivi Jamii Forums haiwezi kugeuka kuwa Chama cha Ukombozi kwenye medani ya Siasa ndani ya Afrika Mashariki na kati kwa Ujumla wake?

THE BOILER ROOM

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2018
Posts
1,054
Reaction score
3,212
Hoja hii ni nzito sana ambayo mimi mwenyewe kama mwanaJF sina mamlaka ya ku-dictate thread hii kwa maana ya unyeti wake, kwa uchache tu ninachoweza kueleza ni kwa nini nimefikia kufikiri hivyo;

1. Jamii Forums ninayoijua mimi ni ile iliyojaa wanazuoni na wabobezi wenye uwezo na weledi wa kila aina.

2. Kuna watu wanaokubaliana kutokubaliana kutoka na upepo wa kisiasa lakini ndani ya mioyo yao ni watu wanaoelewana na kupendana sana, kama wote wakiamua kuwa kitu kimoja kwa moyo mmoja na kwa dhati tegemea mazuri mengi zaidi na zaidi.

3. Vyama vingi vyeye nguvu na ushawishi wa kisiasa ulimwengu vilianza kwenye majukwaa kama haya the next was history.

4. Ni mtaji wa wanachama.
 
Jamii forums ya 2006-2013 ilikua na uwezo huo na in fact wanasiasa wengi na wananchi walikua wanapita hapa kuamsha mijadala ya kitaifa. Nakumbuka mambo mengi sana yalikua yanaibuliwa humu na baadae tunayasikia bungeni na majukwaa ya kisiasa.

Nakumbuka sikuwahi kuwa na account mpaka 2013 maana nilikua nashindwa nitacomment Nini.... Ilikua Uzi ukisoma mpaka uishe unakua sawa na kumaliza degree kabisa!!

Maybe tukirudi katika ubora ule inaweza kuwa chem chem ya mabadiliko
 
Jamii forums ya 2006-2013 ilikua na uwezo huo na in fact wanasiasa wengi na wananchi walikua wanapita hapa kuamsha mijadala ya kitaifa. Nakumbuka mambo mengi sana yalikua yanaibuliwa humu na baadae tunayasikia bungeni na majukwaa ya kisiasa.

Nakumbuka sikuwahi kuwa na account mpaka 2013 maana nilikua nashindwa nitacomment Nini.... Ilikua Uzi ukisoma mpaka uishe unakua sawa na kumaliza degree kabisa!!

Maybe tukirudi katika ubora ule inaweza kuwa chem chem ya mabadiliko
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Jamii forums ya 2006-2013 ilikua na uwezo huo na in fact wanasiasa wengi na wananchi walikua wanapita hapa kuamsha mijadala ya kitaifa. Nakumbuka mambo mengi sana yalikua yanaibuliwa humu na baadae tunayasikia bungeni na majukwaa ya kisiasa.

Nakumbuka sikuwahi kuwa na account mpaka 2013 maana nilikua nashindwa nitacomment Nini.... Ilikua Uzi ukisoma mpaka uishe unakua sawa na kumaliza degree kabisa!!

Maybe tukirudi katika ubora ule inaweza kuwa chem chem ya mabadiliko
Nini kimebadili hiyo taswira iliyokuwepo?
 
Hoja hii ni nzito sana ambayo mimi mwenyewe kama mwanaJF sina mamlaka ya ku-dictate thread hii kwa maana ya unyeti wake,kwa uchache tu ninachoweza kueleza ni kwa nini nimefikia kufikiri hivyo;

1. Jamii Forum ninayoijua mimi ni ile iliyojaa wanazuoni na wabobezi wenye uwezo na weledi wa kila aina!

2. Kuna watu wanaokubaliana kutokubaliana kutoka na upepo wa kisiasa lakini ndani ya mioyo yao ni watu wanaoelewana na kupendana sana, kama wote wakiamua kuwa kitu kimoja kwa moyo mmoja na kwa dhati tegemea mazuri mengi zaidi na zaidi.

3. Vyama vingi vyeye nguvu na ushawishi wa kisiasa ulimwengu vilianza kwenye majukwaa kama haya the next was history
4. Ni mtaji wa wanachama...
JF hii hii ya akina gentamycine?
 
Nini kimebadili hiyo taswira iliyokuwepo?
Mwanzoni waliokua Mitandaoni ni wenye exposure na Hela maana gadgets na bundle vilikua gharama. So walijaa wasomi tu na diaspora. Tatizo kuanzia 2013-15 smartphone zilishuka bei na bando zikashuka bei, mitandao ikavamiwa na Makonda wa daladala na wauza miguu ya kuku wa tandale.

Sasa unatarajia mada Gani serious, no wonder sahivi jukwaa lenye watu wengi ni MMU maana ni mada za ngono tu. But enzi zile za JF ya 2006-13 ilikua jukwaa la siasa na intelligence ndio yalijaa watu maana ilikua ni zaidi ya maktaba ni nondo juu ya nondo.

Siku hizi humu hamna hata watu wa TISS , hawapo viongozi wa CCM au Chadema at least kwa akaunti halisi, hakuna maprofessor Tena!! Wamebaki kina Kulwa Jilala
 
Hoja hii ni nzito sana ambayo mimi mwenyewe kama mwanaJF sina mamlaka ya ku-dictate thread hii kwa maana ya unyeti wake, kwa uchache tu ninachoweza kueleza ni kwa nini nimefikia kufikiri hivyo;

1. Jamii Forums ninayoijua mimi ni ile iliyojaa wanazuoni na wabobezi wenye uwezo na weledi wa kila aina.

2. Kuna watu wanaokubaliana kutokubaliana kutoka na upepo wa kisiasa lakini ndani ya mioyo yao ni watu wanaoelewana na kupendana sana, kama wote wakiamua kuwa kitu kimoja kwa moyo mmoja na kwa dhati tegemea mazuri mengi zaidi na zaidi.

3. Vyama vingi vyeye nguvu na ushawishi wa kisiasa ulimwengu vilianza kwenye majukwaa kama haya the next was history.

4. Ni mtaji wa wanachama.
Jf imekuwa na mchango wakutukuka kwa siasa za inchi yetu,nasubiri ikamilike katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,nitarudi na neno hapa🤔
 
Back
Top Bottom