UTANI WA WANACHUO

Nimekumbuka mbali sana.
Kipindi nasoma ilikuwepo hiyo "tutakaa wote" almaarufu kama kutengeneza "kijiji"[emoji23][emoji23][emoji23].
Usiombe kijiji kipanguliwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

4G LTE unakumbuka Enzi hizo?
Hahahhaha yeah... Sisi tulikuwa tuwaita wateule... Unakuta mtu anagombewa kama mpira wa kona... Na ikishtukiwa ni headache...
 
Nimekumbuka mbali sana.
Kipindi nasoma ilikuwepo hiyo "tutakaa wote" almaarufu kama kutengeneza "kijiji"[emoji23][emoji23][emoji23].
Usiombe kijiji kipanguliwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

4G LTE unakumbuka Enzi hizo?
[emoji2][emoji2]wazee wa formation...mnawai mapemaaa
 
Hahahhaha yeah... Sisi tulikuwa tuwaita wateule... Unakuta mtu anagombewa kama mpira wa kona... Na ikishtukiwa ni headache...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah hata nikilipiwa ada shule sitaki tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…