Utani wa watangazaji Diva na Mbwiga Ambugwike mwanzoni mwa kipindi cha Ala za Roho utakuja kuzua kitu

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Mwanadada mwenye sauti ya kumnyofoa nyoka shimoni, Diva wa clouds FM wamekuwa wakitaniana sana na Mzee Mbwiga Ambugwike ambaye Mara kipindi cha michezo kiishapo usiku hubaki kwa muda akianza kumtania Diva. Ooohh Mara beibeeehh, Mara mtoto mzuurriiii, mtoto mlaiiiinnii, Mara umependeza nk. Basi Diva naye hubaki kuchekacheka tu. Ikumbukwe wanawake wanapenda kusifiwa. Naona Mbwiga atakuja kupita pale. Yangu macho!!!
 
Ni kwel wanawake wakisifiwa pichu n rahis kuvuliwa.
 
mfupa ulionshinda fisi atauweza mbwiga? ....kina zito walishindwa hapo .....anyway huwez jua labda mzaramo anambinu mbadala
 
nenda kale ugali wa muhogo(udaga) zen uludi kuandika upya
 
Hiv bado unasikiliza clouds tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diva hana hiyana, atamzawadia tu Mbwiga

JPM Baki
 
Huu utabiri wako uwapelekee Shilawadu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diva Marios hakuna mtangazaji kma huyu duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…