Utaoa yupi hapa!!

Utaoa yupi hapa!!

Kama umeokoka katika ajali ya meli baharini Na ukajikuta upo katika kisiwa Na humo melini umeokoka wewe wanaume wengine watatu, Na warembo hawa baada ya miaka mitano ya kusubiri bila matumaini ya uokoaji,mnaamua kuanza maisha mapya kisiwani hapo kwa kuendesha shughuli za kilimo Na uvuvi Na uwindaji in short mmeanza maisha ya ujima(communalism)

Kuna wanawake wafuatao utamchagua yupi uzaa nae Na kuanzisha familia Na utamtongoza kwa maneno yapi akukubali!
Joanal
Demi
Mbitiyaza
Sakayo
Emmyta
Sky eclat
Shunie
Carba
Stable woman
Miss natafuta
Heaven on earth
Neybright
Mumu
Cocochanel
Kapeace
Linamo
Tomosa
Mpaka yeye mmemweka humu [emoji125]
 
Buni kitu kingne sepenga hyo unayoleta hailipi !nani anaoa wasiojulikana

Wengi kwenye interview walikudanganya !hapo pretenders ndo wengi

Their are not real they r just live like monsoon wind
 
Buni kitu kingne sepenga hyo unayoleta hailipi !nani anaoa wasiojulikana

Wengi kwenye interview walikudanganya !hapo pretenders ndo wengi

Their are not real they r just live like monsoon wind
Mkuu wengi hao ni ke
 
Mkuu wengi hao ni ke
Sawa !si kwamba nakataa ety siyo KE la hasha wengi siyo real.

Wanawatu wao wengne wanakuja humu Kwa stress tyu wengne walisikia Kwa rafiki zao kuhusu JF
Wengne waliponunua cm waliikuta app ya JF akajalibisha Ku login akajikuta yumo mjengoni

Wengi wao wanapenda men wenye Tv na siyo malengo

Safari kufika ni mbali wao hawapendi safari x2

Kati ya hao uliorodhesha unaweza kuta wa kuoleka ni mmoja tu wengi ni wabinua makalio Insta

They are like monsoon wind they have no constant direction
 
Sawa !si kwamba nakataa ety siyo KE la hasha wengi siyo real.

Wanawatu wao wengne wanakuja humu Kwa stress tyu wengne walisikia Kwa rafiki zao kuhusu JF
Wengne waliponunua cm waliikuta app ya JF akajalibisha Ku login akajikuta yumo mjengoni

Wengi wao wanapenda men wenye Tv na siyo malengo

Safari kufika ni mbali wao hawapendi safari x2

Kati ya hao uliorodhesha unaweza kuta wa kuoleka ni mmoja tu wengi ni wabinua makalio Insta

They are like monsoon wind they have no constant direction
mmmh!!! Kali!
 
Back
Top Bottom