Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Serikale ifute ugali, wananchi hatuupendi......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuota unakimbizwa na N'gombe kama ni wewe ni Mwanamume ni Dalili una jini mahaba la kike linalo kusumbuwa na kukufungia riziki zako za pesa na kukuharibia wanawake wanakukimbia kila ukiwafuata na kukuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia maisha yako yote. Jini mahaba unafanya nalo mapenzi usiku wakati mwengine unaota unafanya mapenzi ukiwa usingizini. Fanya ulitowe hilo jini mahaba.Litakuharibia maisha yako yote.hua inakera aseeee hapo sasa unakimbizwa na ng'ombe 😂
sio mwanaume mie enhee ni nin hiiKuota unakimbizwa na N'gombe kama ni wewe ni Mwanamume ni Dalili una jini mahaba la kike linalo kusumbuwa na kukufungia riziki zako za pesa na kukuharibia wanawake wanakukimbia kila ukiwafuata na kukuharibia nguvu zako za kiume na kukuharibia maisha yako yote. Jini mahaba unafanya nalo mapenzi usiku wakati mwengine unaota unafanya mapenzi ukiwa usingizini. Fanya ulitowe hilo jini mahaba.Litakuharibia maisha yako yote.
View attachment 3015884
Una Jini mahaba mwanamume basi anakuharibia maisha yako wanaume wakukimbia kam una mume kila siku ugomvi haushi katika ndoa yenu unakuwa hujisikii hamua ya tendo la ndoa wakati mwengine na ukishika mimba zinaharibika bila ya sabbu hizo ni dalili chache kati ya dalili zaidi 20 kuw auna jini aka pepo mchafu wakiume jitibie umuondoe atakuharibia kila kitu katika maisha yako.sio mwanaume mie enhee ni nin hii
duh basi tafsiri ni nying,, nilikua najua tofauti kabisa na hiiUna Jini mahaba mwanamume basi anakuharibia maisha yako wanaume wakukimbia kam una mume kila siku ugomvi haushi katika ndoa yenu unakuwa hujisikii hamua ya tendo la ndoa wakati mwengine na ukishika mimba zinaharibika bila ya sabbu hizo ni dalili chache kati ya dalili zaidi 20 kuw auna jini aka pepo mchafu wakiume jitibie umuondoe atakuharibia kila kitu katika maisha yako.
Ndio zipo Tafsiri nyingi za kuota n'gombe lakini ikiwa hiyo ndoto yako ya kumuota n'gombe anaye kukimbiza kila mara ukilala unaota ni dalili ya wewe unajini mahaba mwilini mwako aka jini dume kwa mfano ukiota nyoka mkubwa aka Chatu usingizini anaingia ndani ya nyumba yako pia ni dalili una jini mwilini mwako au ukiota unapaa juu angani kila mara ndoto ya kupaa inakujia ni Dalili inaonyesha una jini mahaba wa kiume ndio anayekuotesha hizo ndoto.duh basi tafsiri ni nying,, nilikua najua tofauti kabisa na hii