Utapeli: Hii ndio shida ya kununua simu za delivery mikoani, Kawekewa simu ambayo wateja wanaofika dukani hawaitaki

Utapeli: Hii ndio shida ya kununua simu za delivery mikoani, Kawekewa simu ambayo wateja wanaofika dukani hawaitaki

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Nipo hapa Iringa kikazi kwa wiki hivi, kuna dogo niliemuasa sana asubiri nirudi Mbeya mwenyewe nimnunulie simu ila tamaa imemponza kaagiza wamsafirishie kwa basi.

Hapo Mbeya hilo duka kuna kipindi niliwahi kwenda kuulizia hio simu anayoitaka, kulikuwa na ambayo imebonyea bonyea, kwenye kona ni kama imepondeka watu wanaikwepa.

Ndio simu ambayo katumiwa alipoagiza.

Mwenye duka anamwambia simu iko poa tu, Dogo kapaniki anataka kwenda Mbeya, yani hapo ataingia gharama zaidi kama elf 50 hivi ya nauli, gesti na chakula maana anaweza kukaa siku mbili huko.
 
Anataka kuirudisha, Mwenye duka anamwambia simu ipo fresh haina tatizo.

Akiamua kuirudisha Mbeya atagharamika kama elf 50 hivi ya nauli, gesti na chakula
Always i cant do delivery bcause the thing you see and its reality its too different
 
Always i cant do delivery bcause the thing you see and its reality its too different
And the sellers will be eager to sell that faulty product that everyone at the shop skips, They see far away customers as easy target for dumping

Na wauzaji wana pata tamaa ya kuuza ile bidhaa ambayo watu wanaikwepa, wanaona wateja wa nje ya mkoa ndio sehemu rahisi ya kuwatupia hizo bidhaa
 
Nipo hapa Iringa kikazi kwa wiki hivi, kuna dogo niliemuasa sana asubiri nirudi Mbeya mwenyewe nimnunulie simu ila tamaa imemponza kaagiza wamsafirishie kwa basi.

Hapo Mbeya hilo duka kuna kipindi niliwahi kwenda kuulizia hio simu anayoitaka, kulikuwa na ambayo imebonyea bonyea, kwenye kona ni kama imepondeka watu wanaikwepa.

Ndio simu ambayo katumiwa alipoagiza.

Mwenye duka anamwambia simu iko poa tu, Dogo kapaniki anataka kwenda Mbeya, yani hapo ataingia gharama zaidi kama elf 50 hivi ya nauli, gesti na chakula maana anaweza kukaa siku mbili huko.
Wabongo biashara za online bado sana,wengi wao sio waaminifu
 
Nipo hapa Iringa kikazi kwa wiki hivi, kuna dogo niliemuasa sana asubiri nirudi Mbeya mwenyewe nimnunulie simu ila tamaa imemponza kaagiza wamsafirishie kwa basi.

Hapo Mbeya hilo duka kuna kipindi niliwahi kwenda kuulizia hio simu anayoitaka, kulikuwa na ambayo imebonyea bonyea, kwenye kona ni kama imepondeka watu wanaikwepa.

Ndio simu ambayo katumiwa alipoagiza.

Mwenye duka anamwambia simu iko poa tu, Dogo kapaniki anataka kwenda Mbeya, yani hapo ataingia gharama zaidi kama elf 50 hivi ya nauli, gesti na chakula maana anaweza kukaa siku mbili huko.
Dooh! Pole san ishawahi nikuta hii hapo alubali tuu shari kamili.
 
Atatafuta nyingine..pesa si yake asitusumbue
 
Back
Top Bottom