The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Mtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.
Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.
Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.
Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.
Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.
Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.
Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.