Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Kuna mshikaji mmoja wa Machame, alikuwa afisa kilimo wilaya Moja akawa custodian wa ghala la mazao. Aisee watu wanajua wamehifadhi mazao yao kumbe ashauzwa miezi mingi, alikuwa analeta Sem-trailer usiku kubeba mazao ya wadau kama yake.Wachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri...
Ubaya tu wakulima walimwamini hawakuwa hata wana msainisha mahala. Jamaa alipangua kesi aka resign kazi ss hv ni bilionea hapa mjini.