Kuna mshikaji mmoja wa Machame, alikuwa afisa kilimo wilaya Moja akawa custodian wa ghala la mazao. Aisee watu wanajua wamehifadhi mazao yao kumbe ashauzwa miezi mingi, alikuwa analeta Sem-trailer usiku kubeba mazao ya wadau kama yake.Wachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri...
.lazima waziri nae atakua mpiga dili sio bure uzoefu unaonesha dili marazote kwawatumishi wa umma hawajawahi tumia simuzaoMassawe katisha Waziri anawezaje kutapeliwa kirahisi hivyo? Yan hamjui katibu Mkuu wa Chama chake?
Unatakiwa kuwa na akili kubwa sana kumtapeli Waziri.Wachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri.
Hawa watu wakipewa nchi wanaweza iba nchi yetu,they are really worse people ever!!!!
Shubamiti
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] watu wana mental problems sio bureMtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli...
Angemtapeli mwigulu πππMtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli...
We acha tu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Anyway!.
Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.
Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.
Aisee!.
Waziri wa Ulinzi hafai kushika hiyo nafasi kama anaweza kudanganywa na Masawe vipi Mr. Slim akiamua kutufanya loloteMtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.
Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.
Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.
Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.
View attachment 1857061
Wewe pimbi acha ukabila.Wachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri.
Hawa watu wakipewa nchi wanaweza iba nchi yetu,they are really worse people ever!!!!
Shubamiti
Huku wanachomea wenzao ndani huku wanatapeliWachaga bhana!
Tusubiri kali nyingine ndani ya wiki hiiWachaga watu wabaya Sana,ona sasa juzi mchaga mmoja kachoma Moto mmewe Leo huyu nae katapeli waziri.
Hawa watu wakipewa nchi wanaweza iba nchi yetu,they are really worse people ever!!!!
Shubamiti
Kama mlinzi wa nchi anatapeliwa kiboya namna hii kazi tunayoHuyu tapeli ni shida,lakini mheshimiwa waziri ni shida zaidi.
πππππyumo humu anakuchora tuNa Mimi nikipata namba ya mwigulu namtapeli
Sio fake, Bali waziri husika ashaona anaenda kuhaibika, haiwezekani waziri mzima utapeliwe kijinga, kwaiyo anataka aeneze propaganda kuwa Ni fake, na huyo bwana Ataachiwa soonNi fake kweli?