Utapeli: Jamaa amtapeli Waziri wa Ulinzi, ajitambulisha kama Katibu Mkuu wa CCM

Utapeli: Jamaa amtapeli Waziri wa Ulinzi, ajitambulisha kama Katibu Mkuu wa CCM

Hivi swala la mchango wa harusi kwa mtu anayepokea million 10 kwa mwezi na posho kibao ni swala la kujiuliza mara 2? Si unatuma laki kama buku tu?

Ukute alituma laki 5 sema mi ningevunja line hapo hapo huyo massawe ni fara! Ukivunja line unasajili nyingine na kitambulisho cha mtu mchezo umeisha na una hama mtaa tu!
Na cm nayo unatupa
 
Ndiyo hapo sasa. Nampa heko sana Bwana Masawe
Huo ulikuwa mtego,waziri alishituka,ukawekwa mtego,jamaa akaingia kingi,angepigwa kama na wale wazee wa tuma kwenye namba hii Sawa,lakini huyu alitumiwa,wakawa wanamtrack akajiona mjanja,kumbe anaingia king,sasa ngoja aende akakalie chupa ya soda,na makalio wazi
 
Ningekua Rais ningemtumbua waziri wa ulinzi mchana kweupe yan polic kila siku wanatuma sms za usitume hela namba usiyo ifaham lakn matokeo yake anakuja kutapeliwa waziri uliempa dhamana ya ulinzi
 
Mtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.
Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.

Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.

Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.

View attachment 1857061
Mwamba kaweka rekodi mziga mpka waziri😂😂
 
Mtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.

Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.

Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.

Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.

View attachment 1857061
[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]nchi ngumu hii Jmn
 
Wachaga wana jambo lao wanalitafuta tuwaache kama walivyo.
 
Anyway!.

Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.

Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.

Aisee!.
😃😃Umemaliza kamanda,yaani kapigwa kiboya mnoo...
 
Anyway!.

Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.

Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.

Aisee!.
Sema ataingizwa cha kiume sio cha kike.
 
Nchi ngumu sana hii, tusilaumu watu wa chini, kama waziri tunayetegemea awe dira, anachapwa kirahisi hivyo, raia wa kawaida itakuwaje sasa
 
Back
Top Bottom