Utapeli: Jamaa amtapeli Waziri wa Ulinzi, ajitambulisha kama Katibu Mkuu wa CCM

Utapeli: Jamaa amtapeli Waziri wa Ulinzi, ajitambulisha kama Katibu Mkuu wa CCM

Mtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.

Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.

Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.

Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.

View attachment 1857061
Big up jamaa.Huyo waziri ni bonge la kilaza na fala.Utatoaje kirahisi hivyo? Si ajabu "tozo" za miamala ilipitishwa kizembe zembe. Ma ccm hayana akili!
 
Mtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.

Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.

Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.

Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.

View attachment 1857061
Huo ndiyo utapeli wa maana.

Huyo waziri maye mduwanzi, katoa mchango ambayo ni sadaka halafu anaifuatilia!

Mtu umempa chakula cha hisani kisha unaanza kumhesabia matonge, waziri kafanya siyo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anyway!.

Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.

Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.

Aisee!.
Nilitaka kusema hivi hivi hilo tapeli LA kichaga kwa namna nyingine limeumbua uwezo wa Mawaziri wetu.
 
Kama waziri wa walinzi anatapeliwa hivi kweli tuko pabaya ... naomba tu iwe fake news
 
Massawe katisha Waziri anawezaje kutapeliwa kirahisi hivyo? Yan hamjui katibu Mkuu wa Chama chake?
Hili ndo swala la kujiukiza eti ni uwazari wa ulinzi je alivyokuwa anatuma kwa hiyo hakuona sio Jina la katibu mkuu wa ccm
 
Anyway!.

Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.

Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.

Aisee!.
[emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo.
 
Back
Top Bottom