Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Aisee. 😀😀 Ila ufoo ye ndo alifanyiwa tukio bana.Hahahaaaa....... Hata Ufoo ni mchaga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee. 😀😀 Ila ufoo ye ndo alifanyiwa tukio bana.Hahahaaaa....... Hata Ufoo ni mchaga!
JaribuKutapeliwa hakuna bingwa hata wewe nikitaka nakusokota vizuri na unajaa mazima wala sio swala la kucheka mbinu zipo kama buku hivi!
Mwenye akili mbovu ni huyo waziri. Anatapeliwa kirahisi sana.Huyu jamaa katisha!! Sio kwa akili mbovu namna hii
Halo. Moderator KISIWAGA apigwe ban. Ana kosa la kuchekesha watu mpaka wakapaliwa chai!!Ngoja na mimi nimpigie waziri wa mambo ya ndani nijitambulishe kama RPC mstaafu wa Dodoma nimuombe pesa ya kufanyia scrub
Sina sababu ya kufanya hilo ila nikuhakikishie nikitaka nakunyoosha vizuri tu!Jaribu
Wiki yenu hii😀😀😀 wametuangusha aisee kwa niaba ya Mkuu chuma cha mjerumani
Baada ya kumwibia mumewe mjeda!Aisee. 😀😀 Ila ufoo ye ndo alifanyiwa tukio bana.
Itakuwa feki,tqngu lini kituo cha polisi kikawa na kabati LA vyombo.Ni fake kweli?
Ban tena mkuu na hizi tozo mpyaHalo. Moderator KISIWAGA apigwe ban. Ana kosa la kuchekesha watu mpaka wakapaliwa chai!!
Hatari.Baada ya kumwibia mumewe mjeda!
Big up jamaa.Huyo waziri ni bonge la kilaza na fala.Utatoaje kirahisi hivyo? Si ajabu "tozo" za miamala ilipitishwa kizembe zembe. Ma ccm hayana akili!Mtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.
Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.
Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.
Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.
View attachment 1857061
Hata Wadengeleko ni ccm maslahi wako ccm kwa ajili ya tisheti na khanga.mchaga atakuwa ccm kwa maslahi ya maisha yake lakini moyoni chadema
Huo ndiyo utapeli wa maana.Mtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.
Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.
Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.
Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.
View attachment 1857061
Nilitaka kusema hivi hivi hilo tapeli LA kichaga kwa namna nyingine limeumbua uwezo wa Mawaziri wetu.Anyway!.
Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.
Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.
Aisee!.
Mkiambiwa ccm akili hamna mnatokwa povu,unatepeliwaje kingese hovyo plus cheo chake kilivyo kikubwaWachaga bhana!
Hili ndo swala la kujiukiza eti ni uwazari wa ulinzi je alivyokuwa anatuma kwa hiyo hakuona sio Jina la katibu mkuu wa ccmMassawe katisha Waziri anawezaje kutapeliwa kirahisi hivyo? Yan hamjui katibu Mkuu wa Chama chake?
[emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo.Anyway!.
Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.
Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.
Aisee!.