Na cm nayo unatupaHivi swala la mchango wa harusi kwa mtu anayepokea million 10 kwa mwezi na posho kibao ni swala la kujiuliza mara 2? Si unatuma laki kama buku tu?
Ukute alituma laki 5 sema mi ningevunja line hapo hapo huyo massawe ni fara! Ukivunja line unasajili nyingine na kitambulisho cha mtu mchezo umeisha na una hama mtaa tu!
Huo ulikuwa mtego,waziri alishituka,ukawekwa mtego,jamaa akaingia kingi,angepigwa kama na wale wazee wa tuma kwenye namba hii Sawa,lakini huyu alitumiwa,wakawa wanamtrack akajiona mjanja,kumbe anaingia king,sasa ngoja aende akakalie chupa ya soda,na makalio waziNdiyo hapo sasa. Nampa heko sana Bwana Masawe
Wachaga wanaiba kindezi sana!Mkiambiwa ccm akili hamna mnatokwa povu,unatepeliwaje kingese hovyo plus cheo chake kilivyo kikubwa
Mkuu aliyemtapeli waziri Ni mchagga ,hapo ndo uchagga unapotokaUchagga unahusika vipi hapo?
Unawaona waajabu kwa sababu wewe ni kuku wa mdondo hukuzaliwa kutafuta peke yako!Wachaga bhana!
Hivi kwanini kabila lenu mna hako katabia ka wizi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Massawe katisha
Ndezi ni mkuu wako kutapeliwa,yani unatapeliwa kindezi hivyo halafu wewe mkuu wa majeshi....hii ni aibu heri ajiuzulu[emoji16]Wachaga wanaiba kindezi sana!
Hakuna kabila lisilo na wezi.
Mwamba kaweka rekodi mziga mpka waziriππJamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.
Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.
Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.
View attachment 1857061
[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]nchi ngumu hii JmnMtu mmoja aliejitambulisha kama Wilfred Masawe mkazi wa kwa mtoni kwa Azizi Ali wilaya ya Temeke, Dar es Salaam amekamatwa kwa kujifanya Katibu Mkuu wa CCM na kumpigia simu Waziri wa Ulinzi na kumtapeli.
Jamaa anasema alitafuta namba ya Waziri wa Ulinzi, akampigia na kujitambulisha kama Chogolo Katibu Mkuu wa CCM na kuomba mchango wa harusi ya dada yake.
Waziri huyo wa ulinzi alimtumia mchango katibu mkuu huyo fake na jamaa akaitumia pesa kwa matumizi yake binafsi.
Sasa jamaa amekamatwa.
Msikilize hapa chini.
View attachment 1857061
πππ wametuangusha aisee kwa niaba ya Mkuu chuma cha mjerumani
Mkuu chuma cha mjerumani huyu jamaa inabidi mumnyime ruhusa ya kuja Moshi Disemba aisee. πππ
ππUmemaliza kamanda,yaani kapigwa kiboya mnoo...Anyway!.
Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.
Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.
Aisee!.
Sema ataingizwa cha kiume sio cha kike.Anyway!.
Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.
Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.
Aisee!.
Hamna hii kitu huwa inatokea mbona.wachaga tumeandamwa safari hii.
Hakika.hiii inaitwa ajali kazini. tutampa polee siku nyingine awe makini.