Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hata anayetangazwa kuwa mshindi haoneshi bashasha.Nikwelii mkuu hii michezoo imekuwa mingi mnoo mimi kiukweli tangu michezo hii ianze sijawahii muona mtu ninaye mfahamu akashinda sa sijuii wanapeana. Ushindi wa mchongo ili tuzidi kutuma helaa
Kwaiyo utapeli ni njia sahii ya kujiongezea kipato?Watu hawapo kukufurahisha wewe na wana-CHAGEMA, kumbuka watangazaji nao wanatafuta pesa ya kulipa bills.
Dah mkuu vp tena mbona hivyoHasira zako za Kucheza mara Elfu Mbili na mpaka sasa hujaambulia chochote usizilete katika hizi Media ambazo zinachezesha huu Mchezo Kihalali kabisa ( kwa ruhusa ya Gaming Board na Serikali ) huku Washindi nao wakipatikana kwa Haki pia.
Sasa kama una Nuksi zilizokujaa kutoka katika Visigino vyako hadi katika Kope zako za Macho yako hayo Makubwa uliyonayo kama Kalmati za Vingunguti ulitegemea nawe Ushinde kweli?
Kwani Umelazimishwa Kuucheza?
Hawa sio wezi si wameomba kihalali ni kama tu kujitolea msaada ila wazee tuma buku ni sawa na wale matapeli wa tumia namba hyKwaiyo ww unaona redio maria sio wezi?? ww ukiwa na akili timamu unamchangiaje bikra maria wakat hata dunian hayupo!
Ndio nashangaaga sana alafu wadau wanabariki sasa kuna utofauti gani na wale tuma kwenye namba hy alafu serikali inawavalia njuga kwann wasiruhusiwe na wao kihalaliNaomba kuuliza huo ni aina gani ya mchezo???
Kutuma pesa alafu unakaa unasubiri wao waamue nani mshindi huo ni mchezo kweli??
Ndio utapeli wenyeweMimi sioni tatizo kwa Wachezeshaji kupiga pesa kwani Wabongo hawa ni wetu sote.
Ingawa ningetamani sana Mamlaka kuwalazimisha hawa Wachezeshaji kuwa wakweli ili "Mliwa" aliwe kwa ridhaa yake.
Kwa hali ilivyo sasa wengi wanapotoshwa na ushawishi wa Wachezeshaji.....haswa hii lugha ya kusema "kwa shilingi elfu moja tu unapata shilingi laki tatu" na hapohapo Wachezaji wengi wakiulizwa wanasema ametumia zaidi ya laki moja kuipata hiyo laki tatu.
Hizo ndio njia rahisi za kutafuta pesa katikati ya wajinga, unakusanyanya milioni 10 kutoka kwao kisha unampa mmoja million 1 na wote wanaongeza juhudi ya kutuma pesa wakipigania kupewa milini 1Wakuu hivi tuseme hizi media zimeishiwa mbinu za kutafuta pesa au wanA wawezesha wasikilizaji?
Kumekuwa na mchezo mmoja saizi naona unasambaa kwenye kila redio.
Unakuta watangazaji wanasema tuma kiasi fulani ujishindie kiasi fulani.
Na ni kwa kila kipindi husika je huu sio utapeli kama serikali inapinga watu kutapeliwa kwenye simu. Sasa kwanini inaruhusu hizi media ziwatapeli watu.
Nb wamiliki wa media kama mnaona mnashindwa kuendesha matangazo yenu bora muombe msaada kama ifanyavyo redio maria kumchangia bikira maria (kapu la mama maria)
Kulikoni hiki mnachofanya?
AU wanakuu mnasemaje,? Kwenye hili
Ndio maana nasema na wale wa tuma kwa namba hy waruhusiwehio michezo imehalalishwa kisheria kwahiyo ww piga domo kodi inaingia kama kawaida na usitarajie serikali itakataza wakati inalamba kodi toka kwenye hiyo michezo ya kubahatisha