DOKEZO Utapeli mpya umeibuka kwenye Vyombo vya Habari Tanzania, Serikali chukueni hatua

DOKEZO Utapeli mpya umeibuka kwenye Vyombo vya Habari Tanzania, Serikali chukueni hatua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Utapeli upo sehemu nyingi ni wewe tu kuamua utapeliwe au la.
Unaweza ukamwepa mganga wa kienyeji ukamkuta kanisani akatupeli pia usione matokeo kucha na pesa zako kachukua.
 
Utapeli upo sehemu nyingi ni wewe tu kuamua utapeliwe au la.
Unaweza ukamwepa mganga wa kienyeji ukamkuta kanisani akatupeli pia usione matokeo kucha na pesa zako kachukua.
Sasa wanakifundisha nn hiki kizazi tena kwenye media???
 
Hasira zako za Kucheza mara Elfu Mbili na mpaka sasa hujaambulia chochote usizilete katika hizi Media ambazo zinachezesha huu Mchezo Kihalali kabisa ( kwa ruhusa ya Gaming Board na Serikali ) huku Washindi nao wakipatikana kwa Haki pia.

Sasa kama una Nuksi zilizokujaa kutoka katika Visigino vyako hadi katika Kope zako za Macho yako hayo Makubwa uliyonayo kama Kalmati za Vingunguti ulitegemea nawe Ushinde kweli?

Kwani Umelazimishwa Kuucheza?
Wewe jamaa huwezagi kumjibu mtu kwa hoja bila kumtukuna??
 
Tunatengeneza Taifa la wacheza kamari na ombaomba, Sikatai to each his /her own lakini haya matangazo inabidi yachagua muda sio kuwahamasisha hawa watoto kucheza kamari...

Hata UK hawakuwa wajinga kukataza matangazo ya betting / sponsorship mbele ya mashati, this is addiction ambayo ni mbaya hence kuwahadaa watu wajiunge sio poa....
 
Hasira zako za Kucheza mara Elfu Mbili na mpaka sasa hujaambulia chochote usizilete katika hizi Media ambazo zinachezesha huu Mchezo Kihalali kabisa ( kwa ruhusa ya Gaming Board na Serikali ) huku Washindi nao wakipatikana kwa Haki pia.

Sasa kama una Nuksi zilizokujaa kutoka katika Visigino vyako hadi katika Kope zako za Macho yako hayo Makubwa uliyonayo kama Kalmati za Vingunguti ulitegemea nawe Ushinde kweli?

Kwani Umelazimishwa Kuucheza?
heee bila tusi kidogo maandishi yako hayakakamalika [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Tatizo sio kuchezesha hiyo michezo kwenye Radio, tatizo je inaendana na makusudio ya awali ya kuanzisha hiyo Radio? Pia hii michezo ni form ya michezo ya kubahatisha sheria zake zinafuatwa wakati wa kuchezesha nakumtangaza mshindi? Maana lazima kuwe na shuhuda kutoka shirika la bahati nasibu ya taifa ili kuthibitisha inavyochezwa hakuna ujanja ujanja wowote.
Kwa ujumla siungi mkono kwa hizi Radio station kuchezesha hii michezo labda watumike kuitangaza hiyo michezo kibiashara kama matangazo mengine.
 
Kutakuwa na ujanja watu wameona njia ya kupiga pesa kijanja, huwezi kuchezesha bahati nasibu bila leseni wala usajili, serikali imulike kunusuru wananchi kuibiwa pesa kwa bahati nasibu za mchongo.
 
Afadhali turudi kwenye radio za dini zetu mfano sisi waislam kuna radio Kheri, Radio Imaan, kwa wale wa kanda kuanzia Kibamba hadi Kibaha kuna Radio moja inaitwa Mum ya Morogoro. Zote hizo unapata taarifa na hakuna kubeti
Huko utaambiwa umchangie bikira maria au madrasa kote wizi mtupu
 
Serikali imebariki hiko kupitia bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania
 
Bora kubet jackpot sportpesa unaweza kuwa bilionea kuliko huo upimbi
 
Back
Top Bottom