Utapeli na wizi wa wachungaji ni marudio ya wamisionari wa kale

Utapeli na wizi wa wachungaji ni marudio ya wamisionari wa kale

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Tunasikia vilio na malalamiko kuhusu wachungaji wenye kuwatapeli waumini wao na wasio waumini wao. Wenye kuamini miujiza ila utapeli huo wa kisasa zaidi mchungaji anatoa chupa ya maji na udongo ,wewe unampa pesa.

Ukirudi nyuma utapeli huu haukuanza leo ulianza kale wamisionari walipoingia kusambaza dini yao ya kizungu walikuwa wakitapeli kwa kutoa shanga na vitu mbali mbali kuwapumbaza babu zetu.

Wamisionari wakijitwalia madini mbali mbali na kwenda kuuza na kutajirisha na nchi zao na wao binafisi wakiwaacha babu zetu mafukara wa kutupwa na kuendelea kuwafumba macho mababu zetu .

Wajinga hawaishi kifupi utapeli uliletwa na wamisionari hapa ulimwenguni!
 
Kuna Taasisi ya kidini ilikuwa inaitwa MAF ( Mission Aviation Fellowship) walikuwa na base Dodoma kwa hapa Tanzania, na walikuwa na ndege zao na marubani wao, walikuwa wanaenda sana Tunduru kueneza injili na kutoa huduma mbali mbali!, aisee kumbe walikuwa wanaiba madini huko na nyara zingine....
 
Kuna Taasisi ya kidini ilikuwa inaitwa MAF ( Mission Aviation Fellowship) walikuwa na base Dodoma kwa hapa Tanzania, na walikuwa na ndege zao na marubani wao, walikuwa wanaenda sana Tunduru kueneza injili na kutoa huduma mbali mbali!, aisee kumbe walikuwa wanaiba madini huko na nyara zingine....
Duuh hatari sana!
 
Back
Top Bottom