Utapeli Uagizaji wa Bidhaa Kutoka Nje ya Nchi

Elimu tosha kabisa nitashangaa sana km mwanaJF atafanya kosa km hili tena.

Thank you brother unatumia kinywaji gani tafadhari!!
 
Thanks broo, nimejifunza kitu [emoji120][emoji120]
 
Wengi wanapingwa ila wapo kimya mm kikuu niliagiza mzigo ila ulinifikia sikuupeenda ulikua ni kopi iliyokuwa kubuu nilirudisha
 
Daaah umenifungua ubongoo[emoji848][emoji848]
 
Amazon umakini kama upi mkuu?
 
Mi nawaza baada ya wewe kumpatia link ya simu yako unayoitaka aliipuuza na kwenda kuchukua clone za kikuu. Usithubutu kununua kitu kikuu hasa bidhaa za elektroniki.
 
we muongo mtaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…