smarphoneseller
Senior Member
- Apr 27, 2019
- 150
- 114
money hollic ndo akina nani hao
255milionaires fx ....wachek instagram ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
money hollic ndo akina nani hao
Hawa juzi si wameanza kufundish training free? Millenium tower? Hawa madogo wanaweza wakawa vzr?255milionaires fx ....wachek instagram ..
Hahahaha mnaenda kupigwa Fasta sanaHawa juzi si wameanza kufundish training free? Millenium tower? Hawa madogo wanaweza wakawa vzr?
bila shaka hela sote zipo kwenye soko huenda wanafundisha bure ila broker wanakudirect Wa kumtumia ili wapate baadhi ya makatoHahahaha mnaenda kupigwa Fasta sana
Forex mjisomee wenyewe Guys
Ndio hapo utapewa IB link huko hakuna cha bure aisee hizo IB link wewe utapandishiwa spread .bila shaka hela sote zipo kwenye soko huenda wanafundisha bure ila broker wanakudirect Wa kumtumia ili wapate baadhi ya makato
hapo umenena mkuu kabisa ukitaka forex kuijua soma mwenyew binafsi vitabu vipo kibao. YouTube pia inasaidia sana traders library telegram unapata vitabu kibaoNdio hapo utapewa IB link huko hakuna cha bure aisee hizo IB link wewe utapandishiwa spread .
Mwenzio atapewa hela aisee ogopa sana vya bure
Elimu ya Forex iko vitabuni kama huwezi soma vitabu achana na forex kabisa nashauri .
Kama mtu anataka kukufundisha bure basi akupe uhuru wa kuchagua broker sio kwa broker wake yeye
huko telegram si ndo mnaweka na VIP signal za kulipia ili kupiga za wengine wakati hela zipo kwenye marketView attachment 1097485![]()
👑BRIGHT FOREX TANZANIA INSTITUTE
ᴡʀɪᴛᴇ ᴛᴏ ᴍᴇ ᴀʙᴏᴜᴛ: ✅ MARKET STRUCTURE MENTORSHIP 👨🎓 ✅ V.I.P 🌻sɪɢɴᴀʟ 📈📉 ✅FREE WEEKLY CHAT 🤑 🔰FREE eBooks 🇹🇿🇹🇿🇿🇦🇿🇦 ᴀᴅᴍɪɴ @MRBRIGHTZ BEST BROKER https://justforex.com//affiliate/landing/xmas?ref=334180t.me
huko telegram si ndo mnaweka na VIP signal za kulipia ili kupiga za wengine wakati hela zipo kwenye market
Naona Mdau anatumia nguvu kubwa kujitangaza ili wadau wajitokeze wakamtengenezee hela hahahahuko telegram si ndo mnaweka na VIP signal za kulipia ili kupiga za wengine wakati hela zipo kwenye market
😀😀😀Sijuii kwa kwelii ila sijawai kuona jamaa akisema mtu ku join sijuii VIP.
Kwani akiweka VIP si yeye wewe kazi yako ni ipi.
Kama wewe ni trade mzuri huna haja ya ku judge
bila shaka njia nzuri ni kukomaa mwenyew mambo ya kuanza kualikana siyo ndo matatizo yanaanzia hapo unakua unapoteza kote koteNaona Mdau anatumia nguvu kubwa kujitangaza ili wadau wajitokeze wakamtengenezee hela hahaha
Kweliii kabisa.bila shaka njia nzuri ni kukomaa mwenyew mambo ya kuanza kualikana siyo ndo matatizo yanaanzia hapo unakua unapoteza kote kote
kabisa kabisaKweliii kabisa.
tena milele mkuuFootball betting itabaki juu kileleni
Sasa ukiwa kama ni trader wa kuangalia ma group wakati kila kitu kiko youtube una fail.kabisa kabisa
okSasa ukiwa kama ni trader wa kuangalia ma group wakati kila kitu kiko youtube una fail.
Yaani mda unao tumia ku comment ungekuta saizi uko sokoni una nunua xxx/jpy pairs.
Ma group ya telegram ni chaguo ku join au kuachaa.
Sio kila group lina VIP mengine yako kwa ajili ya ku share walicho nachoo basii
ya nini mkuuYa kwangu naomba nikitumie inbox kama uko tayari