UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

Naomba uwende pm Mama nimekutumia ujumbe please
 
Cc: Mama Deborah nimekutumia ujumbe please
 
Mkuu forex ni kamali, hilo halina ubishi. It's a pure professional gambling
 
Wakuu naomba kuuliza kuna rafiki kanishirikisha kuhusu biashara inaitwa world way capital je na hii nayo kama forex?kama inafanana na hiyo forex nataka niachane nayo msaada pls
 
Fursa yenye hela hakuna mtu atakushirikisha.

Hata awe mzee wako.

Mkuu mbona watu wanapeana madili kila jambo unaloambiwa sio la kupuuzia inabidi ufanye uchunguzi kisha uamue.
 
Sawa mkuu jiunge na hio adhimu.
Poa nipo kwenye uchunguzi kwanza nikiona magumashi naachana nayo naona yeye kashapigwa na yeye anatafuta boya mwenzie.biashara inayofanana na kamari huwa siziwezi kabisa
 
Pesa Za Download Ukiwa Home
NduguZangu
Ukikubali Kulaliwa Mwisho Utapasuka Utakuwa Kama Pono
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Dah asante sana,jamaa mara ooh kuna mtu anajenga kwasabu ya hiyo ishu mara ooh mi nimejaribu nimeshannua kiwanja kumbe porojo tu.
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
 
Wakuu naomba kuuliza kuna rafiki kanishirikisha kuhusu biashara inaitwa world way capital je na hii nayo kama forex?kama inafanana na hiyo forex nataka niachane nayo msaada pls
Utapigwa Utachakaa
 
Forex ya kibongo bongo sawa na QNET. Uongo mwingi kuliko uhalisia. Wapigwe tu! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Safi sana wajinga waendelee kupigwa hivyo hivyo mpk akili ikae sawa.

Uzuri mwl wao yule komando kipensi wa pale Jangid alishawafundisha hio style ukishapiga hela za watu 'rara mbere kwa mbere'.
 
Were Fala umechanganya majina.
Kuna "Andile Mayisela" na "Sandile Shezi"
Kuna makini, utapakatwa.
Dogo "Sandile" yuko vizuri, hanaga skendo yoyote. Ni tajiri. Anaweza akaoa ukoo wenu wote.
Kidume kutumia jina la mwanamke ni hatari sana, sisi wapenda totozi mnatupa taabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…