Utapeli wa huyu dada wamtokea puani

Pamoja na hayo siungi mkono hoja, ni ujinga mkubwa kutenda hivyo.
200,000 ni kitu gani hata utweze utu wa mtu?

Utalalaje na mwanamke asiyekupenda?
Pumbafu sana.
 
Izo laki mbili alizitoa kwa makubaliano gani ?. Alimpa zote kwa pamoja au alikua anamnunulia vitu vidogo vidogo ?
 
Akome utapeli na uwongo haulipi.
 
Pamoja na hayo siungi mkono hoja, ni ujinga mkubwa kutenda hivyo.
200,000 ni kitu gani hata utweze utu wa mtu?

Utalalaje na mwanamke asiyekupenda?
Pumbafu sana.
Hakuna cha bure, na kama si mtu wa kutunza ahadi bora usipende mteremko ... Utu ni mbinguni kwa waamini ila malipo ni hapa hapa duniani
 
Issue ilishaisha maana huyo jamaa ndio alikuja kumponesha na ndio mpaka sasa anakula mzigo kwa huyo manzi
Jamaa yako ana ukichaa Fulani hivi,,,utafute watu mpige mtungo demu then anakuja kuwa nae tena,,sasa ukatili,, upuuzi ,,na ufala wote aliomfanyia huyo Mtoto wa kike ulikuwa wa nini??
 
Unatumiaje 200k kwa mlupo ambao hata UTELEZI hujateleza, hiyo 200k angeenda telegram huko angepata manzi wa kutosha, 3some zisizo na mipaka..
Mengine watu wengine wanajitakia, kizembe tu manzi unampa 200k na huna uhakika wa utelezi, hapa ni utelezi kwanza kisha kibunda kinatoka.
 
Still huwelewi mimi nimekuta hiyo issue imeshatokea nikapewa story nzima, tunapozungumza hadi sasa huyo jamaa na huyo manzi ni wapenzi wanakulana hadi sasa in short issue ilishaisha cos jamaa ndio alikuja kumtibu huyo manzi tangu hapo ndio wakawa wapenzi. Hiyo kesi niifungue kwa misingi ipi?
 
Izo laki mbili alizitoa kwa makubaliano gani ?. Alimpa zote kwa pamoja au alikua anamnunulia vitu vidogo vidogo ?
Alikuwa anahonga rejareja ambapo ndani ya wiki 1 ukikusanya jumla yake inafika laki 2
 
Jamaa yako ana ukichaa Fulani hivi,,,utafute watu mpige matunda demu then anakuja kuwa nae tena,,sasa ukatili,, upuuzi ,,na ufala wote aliomfanyia huyo Mtoto wa kike ulikuwa wa nini??
Mkuu si hasira na ukichanganya na kuwa ni mnywaji Ndio unapata hiyo combination
 
Hakutoa kwa mkurupuo Bali kwa rejareja ambapo ukizijumlisha zinakuja laki 2 ndani ya wiki 1 tu
 
Hakutoa kwa mkurupuo Bali kwa rejareja ambapo ukizijumlisha zinakuja laki 2 ndani ya wiki 1 tu
Laki 2 ndani ya wiki moja, bado alitoa boko..
Daily alikuwa anahudumia kama 28k hivi🤣🤣
Hayo ni matumizi ya nyumbani kwa mama watoto ujue, unakopata UTELEZI bila longolongo. 🤣
 
🤣🤣🤣🤣 mmmh anglia wewe usije kuifanya ila nyumba yetu ikawa machinjio yako
 
Laki 2 ndani ya wiki moja, bado alitoa boko..
Daily alikuwa anahudumia kama 28k hivi🤣🤣
Hayo matumizi ya nyumbani kwa mama watoto ujue, unakopata UTELEZI bila longolongo. 🤣
Mbususu inawaendesha vibaya vijana wengi akikojoa akili zake Ndipo zinarudi
 
Mbona tunatafuta pesa zetu hata sahivi, ni wachache sana wanapiga vizinga now, na wanazidi kupungua😀
Mnatafuta ndio lakini vizinga havijawi kuisha tena sasa hivi hali imekua mbaya kupita kiasi, ukimkenulia meno tuu pisi kali tayali mlolongo wa shida zake unaanza kumkaba kooni ujichanganye hata kumsalimia ndio utajua kwa nini iddi amini aliitwa dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…