Utapeli wa huyu dada wamtokea puani

Utapeli wa huyu dada wamtokea puani

Yaani hilo dogo wewe hayawani kabisa, mbakaji unatamba hakuna wa kukuchukulia hatua nchi hii?
Shida ipo kwenye kusoma vizuri habari umesoma vizuri au ndio unakurupuka tu kucomment
 
Wewe, mhusika, na wengine wote ni wapumbavu, kumbe kuna sababu ya watu kufungwa maisha Jela, Huyo jamaa anastahili kufungwa maisha, hafai kwenye jamii.
Mkuu sasa mimi nimehusika vipi hapo? Umesoma vizuri uzi na kwa umakini mkubwa?inaonesha unesoma ila haujaelewa vizuri
 
Back
Top Bottom