Utapeli wa Mwendokasi

Utapeli wa Mwendokasi

Wanaenda kuambiwa kilimo cha matikiti heka ya milioni moja unavuna milioni 200 ha ha ha ha kilimo cha online
Hahahahahaha eti kilimo cha online, so naona jamaa yeye kachoka kuzipata hizo million na sasa analeta fursa kwa wanajamii. Kweli nimeamini kuwa ukiitiwa fursa jua wewe ndiyo fursa.
 
Mimi ule uzi wa kupata 30k-40k kwa siku nimejifunza mengi tena bure tu, nikishindwa chukua mle iweje niende kwenye hiyo ya kulipia 40k !!!
 
Ulikua unafanya biashara gani?
Nisidharau huwenda wew ndiwe..
Mwenye tangazo yuko Sawa unaweza kutoka 120000 kwenda mill 100 Sawa .Gharama ya kozi ni 40000 .Nilianza biashara Kwa 68000 nikaipeleka 950mill .Kwa hiyo sioni cha ajabu hapo
 
Utapeli kamwe hauwezi kuisha...ila kilichobaki unabadilika tu mode za upigaji....
Majuzi tu ..hata mwezi haujapita kuna mpuuzi akaanza kuniambia mambo ya Qnet...nikamuangaliaa alafu nikamuacha kama alivyo...alafu ni bro namweshimu sana..yeye anasema baada ya miezi 6 anaagiza kontena kama 200 kutoka China
vp zile contena 200 ziliingiaga mkuu
 
Back
Top Bottom