Fundi Mgumu
Member
- May 7, 2022
- 92
- 53
Sasa mkuu mbona hunijibu na zile monitored days kweny scams za HYips zna maana gani??Usiingie kichwa kichwa kwenye vitu usivyovijua uwe unachukua muda wa kufanya utafiti kidogo ndio ujue uingie au uache.
DECI kuna watu walipiga sana hela ila waliokuja kuingia baada ya kusikia watu wanapiga hela ndio wakapigwa na vitu vizito na serkali yeti kama kawaida ikawa inacheka tu.
Huyu demu alishaniambiaga kwamba hii kitu sio maarufu hpa tz,ngoja nikapooteze pesa huko nimtafute anielekezeUkiona tu system imeanza yaan haina ata week au ata siku 3 haijafika ingia fasta vuna pesa chap alaf usiwe na tamaa ya kuweka tena ndio ujanja unaotumika kwenye HYIPs
Nitapeleka kiwango ambacho hakitanidhuru endapo nikipotezaKwa kuwa ushajua kuwa unaenda kuRISK pesa yako hakuna shida na ndio moja ya utafutaji
Hahaha kumbe wazee wa global pale makumbusho kwenye jengo lao la semina kumne unawajua?wale wa makumbusho wenye suti na wanaosalimia GOOD MORNING ata jioni wana product ila hz HYIPs weng wanazirun kwenye office/ magheton kwao na wanatumia tu premiumVPN ili waonekane either wapo UK or nchi yoyote hile ya kuaminisha watu na wanaanza kupiga pesa.
Ni Biashara nzuri sana ukiweza kununua Software na kama una mtaji wa kama 5M tu inatosha kulipia kwenye HYIP MONITORS na kuwaonga kidogo ili waseme PAYING basi wazungu kama wote utawapata.
Usiziamini sana hzi system mara nying haya makampun wanazionga ili waziandikie mazuri.Sasa mkuu mbona hunijibu na zile monitored days kweny scams za HYips zna maana gani??
Hao Good Morning ilisababisha nigombane na Rafiki yang wa karibu sana wa kike aliniambie kuna mchongo wa hela nying sana nikafunga safar kutoka mbeya mpaka dar maana wengne tangu tupo sec pesa ilikuwa damuni na uzuri tulisoma Kariakoo ndio kabisaaa.Hahaha kumbe wazee wa global pale makumbusho kwenye jengo lao la semina kumne unawajua?
Aisee nimecheka sana hapo ulipoandika good morning yani umenikumbusha kitambo sana
Panda fund mbna naona website Yao still ipo active[emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa kadhaa back days, niliwaambia wasijichanganye kwenye Kasite kamoja Kalikua kanaitwa PAMA FUNDS[emoji23][emoji23] Ehh bhana system haionekani na aliweka Boom kama Mbili hivi[emoji1787]
Sicheki kwa mazuri
wamebadili Domain mwanzon ilikuwa dot com sasa hv ni dot online, hzo zote ni njia za kusaka NOTI ukiona wenzetu wanaendesha AUDI na kaz ngumu hawafanyi ujue pesa wanapatia kwenye njia kama hz na zingne nying kwa wajinga waliolalaPanda fund mbna naona website Yao still ipo active
Na Ina mda gani toka ianzishwe,na hata SME iko vizur nashangaa jamaa anaikandia kinoma noma ,ni huzuni kinomaPanda fund mbna naona website Yao still ipo active
Mm natoa tu tahadhari maana mm ni Risk taker mzur tu nawekaga hela nying tu kwenye platform za online ila baada ya kupitia pitia maandiko kadhaa so kama unaweka ni juu yako ila ukiliwa usianze kulalamika kuwa ONLINE NI UTAPELI tu.Na Ina mda gani toka ianzishwe,na hata SME iko vizur nashangaa jamaa anaikandia kinoma noma ,ni huzuni kinoma
Nakubali na kujua platform mpya kabisa nafanyaje?Mm natoa tu tahadhari maana mm ni Risk taker mzur tu nawekaga hela nying tu kwenye platform za online ila baada ya kupitia pitia maandiko kadhaa so kama unaweka ni juu yako ila ukiliwa usianze kulalamika kuwa ONLINE NI UTAPELI tu.
Kweli wajinga huwa hawaishi dah[emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa kadhaa back days, niliwaambia wasijichanganye kwenye Kasite kamoja Kalikua kanaitwa PAMA FUNDS[emoji23][emoji23] Ehh bhana system haionekani na aliweka Boom kama Mbili hivi[emoji1787]
Sicheki kwa mazuri
Kuna mtu aliwahi niambia wajinga kuja kuisha labda bahari ikauke.Marekani na kuendelea kwao kote lakn ndio wanaopigwa kuliko ata Huku
Good morning saa 9 alasiriHahaha kumbe wazee wa global pale makumbusho kwenye jengo lao la semina kumne unawajua?
Aisee nimecheka sana hapo ulipoandika good morning yani umenikumbusha kitambo sana