Utapenda namna Babutale, Fella na Sallam walivyo professional kwenye kazi yao

Utapenda namna Babutale, Fella na Sallam walivyo professional kwenye kazi yao

OK TIMU NANILIU NIMEKUPATA BYE
Hahahaha

Rayvanny mbakaji na nasibu nyange, wameanza kuwika kimataifa kitambo sana yani sana, wana mituzo ya bet na MTV, sasa kwa mtu aliyewika kimataifa kitambo tunatarajia sasa awe ana Grammy kama tano. Ziko wapi Grammy awards za nasibu na rayvanny? Na hapa tuko Tanzania , tunaongelea ya watanzania, mana mnasema nasibu kama mtanzania ni tishio kwa burna. sasa basi hadi hivi sasa tunatarajia kwenye kabati kuna tuzo za Grammy za kuelezea "utisho" huo.. Ziko wapi ?
 
Kufeli vipi? Mtu kama Said Fella kasimamia kazi za msanii namba moja wakati huo Juma Nature kwa mafanikio makubwa...Nature alipata mafanikio yote unayoyajua kuanzia tunzo za chanel O, mauzo makubwa ya albums na records mbalimbali akiwa chini ya Fella. Why alipoondoka kwa Fella akapoteana mpaka leo? ndio uelewe management skills za huyu jamaa zilimbeba sana Nature.

wasanii kama ferouz, sumalee, jux, chege, temba, yamoto, shaa, dulla makabila nk walipokuwa kwenye mikono yake walikuwa juu ile mbaya utapataje shaka na uwezo wa huyu mwamba?!

Kuhusu Tale wote tunajua Titop ilivyokuwa juu.

Sallam kaanza kufanya management ya wasanii serious akiwa na Diamond kabla alikuwa anafanya ishu zake na kwenye muziki alikuwa anafanya deals zaidi.

Kuungana kwa awa watu sio kwa sababu walifeli walipotoka ila wameongeza nguvu ya pamoja na kutengeneza kitu strong.
Said Fella na Babu Tale walikuwa mameneja kipindi ambacho hata wao wenyewe walikuwa hawajui nini majukumu yao. Unaposikia mafanikio ya wasanii uliowataja, ni kwamba wale wasanii ndiyo walikuwa wana mchongo. Kama unamzungumzia Nature, nyuma yake kuna mtu anaitwa P Funk. Fella alikuwa amepewa shafu la kuiongoza TMK Family kama braza tu wa Temeke aliyependa muziki, ndiyo maana Nature alipomshtukia ananenepa tumbo wao wanakonda akasepa zake. Unauliza alipo Nature, unajua alipodondokea Fella?
Nature alipoondoka TMK, kundi likayumba na kufa akabakia Mh Temba na Chege wao kama wao na kumbuka TMK haikuwa lebo. Tip Top pia haikuwa lebo ni kundi ambalo Babu Tale aliletwa tu awajue wasanii na ndugu yake ambaye ndiye muasisi wa kuitwa Bonge (rip). Kipindi kile wasanii walikuwa wanaona fashion tu kuona kuna mtu anawasimamia ndiyo maana wasanii wajanja kama Sugu hawakutakaga huo ujinga.
Diamond alipokuwa Sharobaro, jamaa alipata recognition kubwa sana kiasi kwamba akajiona yupo juu, lakini dogo alipoondoka na kuanzisha wasafi unaweza niambia Sharobaro Records imepiga hatua kwenda mbele au nyuma?
Mpeni sifa zake Diamond, acheni kujifanya mnatafuta watu eti ndiyo wamempandisha juu. Hivi mnajua dogo aliwakazia kwa kiwango gani Clouds chini ya yule Mungu wa wasanii hadi wakashindwa?
The boy deserve credit. Fikiria watu wanazungumzia kuhusu yeye kupata tuzo za Grammy
 
Said Fella na Babu Tale walikuwa mameneja kipindi ambacho hata wao wenyewe walikuwa hawajui nini majukumu yao. Unaposikia mafanikio ya wasanii uliowataja, ni kwamba wale wasanii ndiyo walikuwa wana mchongo. Kama unamzungumzia Nature, nyuma yake kuna mtu anaitwa P Funk. Fella alikuwa amepewa shafu la kuiongoza TMK Family kama braza tu wa Temeke aliyependa muziki, ndiyo maana Nature alipomshtukia ananenepa tumbo wao wanakonda akasepa zake. Unauliza alipo Nature, unajua alipodondokea Fella?
Nature alipoondoka TMK, kundi likayumba na kufa akabakia Mh Temba na Chege wao kama wao na kumbuka TMK haikuwa lebo. Tip Top pia haikuwa lebo ni kundi ambalo Babu Tale aliletwa tu awajue wasanii na ndugu yake ambaye ndiye muasisi wa kuitwa Bonge (rip). Kipindi kile wasanii walikuwa wanaona fashion tu kuona kuna mtu anawasimamia ndiyo maana wasanii wajanja kama Sugu hawakutakaga huo ujinga.
Diamond alipokuwa Sharobaro, jamaa alipata recognition kubwa sana kiasi kwamba akajiona yupo juu, lakini dogo alipoondoka na kuanzisha wasafi unaweza niambia Sharobaro Records imepiga hatua kwenda mbele au nyuma?
Mpeni sifa zake Diamond, acheni kujifanya mnatafuta watu eti ndiyo wamempandisha juu. Hivi mnajua dogo aliwakazia kwa kiwango gani Clouds chini ya yule Mungu wa wasanii hadi wakashindwa?
The boy deserve credit. Fikiria watu wanazungumzia kuhusu yeye kupata tuzo za Grammy
Ndio tatizo letu waswahili uwa tunafikiri mambo yanatokea pasipo sababu..Wanasema usione vinaelea vimeundwa...

Kwanza naomba nikuelekeze PFunk hakuwai kuwa meneja wa Juma Nature, P alikuwa ni producer wa Nature na ndie alimgundua ila kazi za management alizifanya Fella mpaka walipokuja kugombana...sasa wewe unasema alikuwa just a brother, ule ugomvi wao ulitokana na nini?

Pia sharobaro haikuwai kuwa label it was just a studio, Bob Junior alikuwa ni producer wa Mondi ila meneja aliyemtoa Diamond aliitwa Papaa na walipotofautiana Diamond alilipa hela ya kuvunja mkataba.

Rayvanny alipopatwa na msala nadhani hukuona Diamond pale akiangaika, waliokwenda polisi kumaliza ishu ni kina Tale. Hiyo ndio kazi ya managers kuakikisha msanii wako yupo salama. Investor amekaa zake Mbezi anapewa ripoti..Kigumu kipi hapa unashindwa kuelewa?


Hapa nachotaka nikueleweshe kusema awa managers wanafanya kazi yao vizuri sio kupuuza uwezo wa Mondi, we all know Diamond sio superman kwamba ataiendesha na atafanya kila kitu wasafi bila kuwa na watu wanaoijua kazi.

Fella, Salam na Tale ni mfano wa kuigwa, kazi wanazofanya kuna watu wameendea shule mpaka nje ya nchi ila ukiwapa wafanye hawawezi. Historia inawabeba ndio maana Mondi alisimama na Salaam yule chinga alipotaka kumletea za kuleta Salaam.
 
Wewe jamaa unachuki zako binafsi
Hujajibu swali, tuzo za Grammy ziko wapi ? Za nasibu?

Hatumuongelei davido hapa, tunamuongelea nasibu nyange, tuzo zake za Grammy ziko wapi?

Hatumuongelei the weekend hapa, tunamuongelea nasibu, kwahio sababu the weekend hajachukua kwahio unataka kumfananisha na nasibu nyange ?

Tuleteeni tuzo za Grammy hapa ..bila hivyo nyinyi hanjafika level yoyote ya kimataifa, nyinyi endeleeni kutesa hapa afrika mashariki tu na kati
 
Tuzo za Grammy ziko wapi?? Tuzo za Grammy ziko wapi? Kanye west kunyea au kukojolea haina uhusiano na nasibu kuchukua Grammy..tunataka tuzo za Grammy, eti nasibu alianza kuchukua bet kabla ya burna akiwa local artist , unaumwa mavi wewe , basi kwa staili hio nasibu angekua hadi sasa ana Grammy awards kama mbili hivi, yeye si katangulia? Au rayvany mbakaji angekua na Grammy kama tatu hivi..
Chuki zitakuua mkuu..
Kubali kataa huyo ndo msanii mkubwa Tz au na hili unabisha pia ??
 
Kufeli vipi? Mtu kama Said Fella kasimamia kazi za msanii namba moja wakati huo Juma Nature kwa mafanikio makubwa...Nature alipata mafanikio yote unayoyajua kuanzia tunzo za chanel O, mauzo makubwa ya albums na records mbalimbali akiwa chini ya Fella. Why alipoondoka kwa Fella akapoteana mpaka leo? ndio uelewe management skills za huyu jamaa zilimbeba sana Nature.

wasanii kama ferouz, sumalee, jux, chege, temba, yamoto, shaa, dulla makabila nk walipokuwa kwenye mikono yake walikuwa juu ile mbaya utapataje shaka na uwezo wa huyu mwamba?!

Kuhusu Tale wote tunajua Titop ilivyokuwa juu.

Sallam kaanza kufanya management ya wasanii serious akiwa na Diamond kabla alikuwa anafanya ishu zake na kwenye muziki alikuwa anafanya deals zaidi.

Kuungana kwa awa watu sio kwa sababu walifeli walipotoka ila wameongeza nguvu ya pamoja na kutengeneza kitu strong.
Hivi hao ni mameneja au wataalamu wa fitna na ulozi?
 
Nyinyi tuzo za Grammy mtachukua lini, au mnajishebedua kwenye mitandao ya kijamii hamna lolote, Mara Paula, Mara ngono, Mara supa woman, yani upuuzi upuuzi tu, tuzo za Grammy mtaishikia kuzisikia kwenye masikio yenu kwa kujisifu huku Ku handle video ya ngono ya Paula na rayvany
nmekubali heshima yako kwa wasanii wa WCB mpaka kufikia hatua ya kuwahusisha na tuzo kubwa duniani sio kitoto,kikubwa tuwape subra, japo tuzo zenyewe nazo n kamaznamazingzong mengi mpaka watu wanajitoa kutojihusisha nazo
 
Nyinyi tuzo za Grammy mtachukua lini, au mnajishebedua kwenye mitandao ya kijamii hamna lolote, Mara Paula, Mara ngono, Mara supa woman, yani upuuzi upuuzi tu, tuzo za Grammy mtaishikia kuzisikia kwenye masikio yenu kwa kujisifu huku Ku handle video ya ngono ya Paula na rayvany

We unayo hiyo tuzo ya grammy...?
 
nmekubali heshima yako kwa wasanii wa WCB mpaka kufikia hatua ya kuwahusisha na tuzo kubwa duniani sio kitoto,kikubwa tuwape subra, japo tuzo zenyewe nazo n kamaznamazingzong mengi mpaka watu wanajitoa kutojihusisha nazo
Kwahusisha sio kuchukua tuzo, tunataka kuona tuzo zao mana wao wameanza mziki siku nyingi kabla ya underground burna boy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi tuzo za Grammy mtachukua lini, au mnajishebedua kwenye mitandao ya kijamii hamna lolote, Mara Paula, Mara ngono, Mara supa woman, yani upuuzi upuuzi tu, tuzo za Grammy mtaishikia kuzisikia kwenye masikio yenu kwa kujisifu huku Ku handle video ya ngono ya Paula na rayvany
Hizi chuki watanzania katu hazitupeleki popote. Hapa walipoufikisha wasafi muziki wa Tanzania siyo pabaya. Ipo siku watashinda. Kuwa na roho za chuki kwa binadamu mwenzako sio uungwana ni umasikini na uchawi. Mimi naamini ili kufanikiwa ni lazima niwe na sprit ya ku-appriciate mazuri wanayofanya wengine. Leo Tanzania na Afrika huwezi kuzungumzia Diamond platinumz. Wewe hata ukimchukia haitatibu njaa zako. Chuki, roho za paka na kuombea wengine mabaya kuashiria Uduni wa maisha uliyonayo
 
Hizi chuki watanzania katu hazitupeleki popote. Hapa walipoufikisha wasafi muziki wa Tanzania siyo pabaya. Ipo siku watashinda. Kuwa na roho za chuki kwa binadamu mwenzako sio uungwana ni umasikini na uchawi. Mimi naamini ili kufanikiwa ni lazima niwe na sprit ya ku-appriciate mazuri wanayofanya wengine. Leo Tanzania na Afrika huwezi kuzungumzia Diamond platinumz. Wewe hata ukimchukia haitatibu njaa zako. Chuki, roho za paka na kuombea wengine mabaya kuashiria Uduni wa maisha uliyonayo
Kuna binadamu wengine sijui walizaliwa chooni? Kubishana na watu Aina ya huyo jamaa ni kupoteza wakati
 
Back
Top Bottom