RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
📖Mhadhara (65)✍️
Si kila mwanamke au mwanaume ambaye mtakuwa marafiki ni lazima utembee nae au awe mpenzi wako, utapoteza marafiki wengi wa faida kwasababu ya kutaka kuwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Mara zote tendo la ngono hufifisha ukaribu. Unaweza kumwona fulani (ambaye ni rafiki yako) ni handsome au ni mrembo sana na anakuvutia, lakini ukishatembea nae utagundua ni tamaa ndio ilikudanganya. Hivyo ule ukaribu wenu utafifia taratibu mwishowe mawasiliano yenu yatapotea.
Marafiki wengine wabakishe kama akiba yako ya baadae. Unawaona watu wanajivunia mjini kuwa na "connections za kimaisha" ni kwasababu waliwatunza vizuri marafiki wa faida.
ZINGATIA: Baada ya ngono au kukataliwa huwa unakuja upepo wa kumwona mtu uliyetembea nae au aliyekukataa ni kero kwenye masikio, macho, na hisia zako.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Si kila mwanamke au mwanaume ambaye mtakuwa marafiki ni lazima utembee nae au awe mpenzi wako, utapoteza marafiki wengi wa faida kwasababu ya kutaka kuwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Mara zote tendo la ngono hufifisha ukaribu. Unaweza kumwona fulani (ambaye ni rafiki yako) ni handsome au ni mrembo sana na anakuvutia, lakini ukishatembea nae utagundua ni tamaa ndio ilikudanganya. Hivyo ule ukaribu wenu utafifia taratibu mwishowe mawasiliano yenu yatapotea.
Marafiki wengine wabakishe kama akiba yako ya baadae. Unawaona watu wanajivunia mjini kuwa na "connections za kimaisha" ni kwasababu waliwatunza vizuri marafiki wa faida.
ZINGATIA: Baada ya ngono au kukataliwa huwa unakuja upepo wa kumwona mtu uliyetembea nae au aliyekukataa ni kero kwenye masikio, macho, na hisia zako.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM