Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hiv...
Kuhibu hizo hoja unahitaji akili kubwa.

Mfano anakwambia uchaguzi wa 2025 utakuwa mbaya kuliko huu wa mitaa 2024. Sababu utasimamiwa na watu wale wale.

Unamjibu vipi? Kama hakutakuwa na tume huru ya uchaguzi, katiba mpya?
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hiv...
ni busara zaidi akapuuzwa tu kama ambavyo hufanyika mara zote,

kwasasababu hana athari zozote kisiasa Lakini pia alikua na fursa ya kutengeneza utaratibu mzuri zaidi wa kisheria wa anacholalamikia kisitokee wakti huu kipindi akiwa mamlakani.

vinginevyo ni useless na completely nonsense 🐒
 
Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
Siasa zetu zinaangalia mwezetu, ndugu, rafiki, kanda, kabila na yanayofanana na hayo kabla ya hoja yenye mantiki.
Chama chaweza kutumika kuitenga serikali na kinyume chake.
Hata hivyo, serikali haipo juu ya chama. Mzee mstaafu hawezi kutoka nyumbani kwake aitishe mkutano na waandishi wa habari bila kuwasiliana na kukubaliana na watu wengine.
Hoja zake zahitaji kuchukuliwa kwa tahadhari kubwa.
 
Mnataka kumtumia vibaka tena?
images (66).jpeg
 
Mbona unaleta utani?
Umjibu nini?
Kulikuwa na hitilafu,kila mtu ameona.
Yeye Jaji Warioba amezungumza kwa sababu yeye ndiye kati ya watu wachache wanaoweza kusema kitu bila kuhofu kupelekwa Coco Beach.
Hata hivyo mimi sijasikia alichosema.
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Upumbavu ni kipaji yaani unapokuwa umebobea kwenye jambo fulani halafu unashindwa kulisimamia kwa weledi kwa kuahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data, (uchawa)

Ujinga ni kufanya jambo lile lile kwa namna ile ile halafu ukitegemea matokeo chanya,(expecting results from what you know), ama kulazimisha watu wafikiri unavyotaka wewe, hata kama uwezo wako wa kufikiri ni mdogo

Vile vile kuchelewa kujua siyo ujinga bali ujinga ni kuto taka kujifunza, (lack of adaptability skills)

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi bila utii, (unafiki)

Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and hypocrite

Changamoto, (uncertainty), husababishwa na 1. Taarifa, 2. Majanga, 3. Binadamu

Taarifa:
Taarifa kama uwezo wako wa kutafsiri ni mdogo inaweza kukusababishia changamoto baada ya kufanya maamuzi ya kipuuzu, (yasiyo na maana)

Majanga:
Majanga yako ya aina mbili, (natural disaster and artificial), Majanga kuyazua huwa ni ngumu, yapo ya ki-binadamu na ya ki- Mungu

Binadamu:
Binadamu hujisababishia changamoto kwasababu ya uzembe, ujinga, uroho, wivu na ushamba, pia binadamu anaweza kuwasababishia watu wengine changamoto kwa makusudi ama kwakutokujua.
Mfano wa makusudi, Wasiojulikana tumeshudia wakisababisha changamoto kwa watanzania wenetu kwa kuwaumiza hata kuondoa uhai wao ama kuwapoteza kwa muda wanao taka wao

Hitimisho chaguzi hazisimamiwi na tume huru ya uchaguzi kwasasa tulipofikia siyo uchaguzi huru bali ni uchafuzi huru yaani umekuwa uchaguzi wa hovyo kupindukia. Ni uchafuzi kwasababu ya mambo mengi ya kijinga kama vile kuwaengua wagombea kwa hila, pamoja na watu kupoteza uhai ama kujeruhiwa hadi kuwa vilema, hata kupotezwa

Swali fikirishi ili tuwe na tume huru ya uchaguzi nini kifanyike

Bila kuwa na tume huru ya uchaguzi wagombea wataendelea kuuawa, kwasababu ya uroho wa madaraka, (washika tonge)
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Steve Nyerere
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.

Vijana wa leo wanajiona wao ndio CCM kuliko mtu mwingine yoyote. Hata ikibidi kutumia violence means kumzima mtu.
Ila that is not sustainable. It will fail.
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Una maanisha wakavae zile flana zao zenye picha ya JKN na maandishi yanayosomeka VIJANA WAZALENDO halafu wakampige tena mbele ya camera?
 
Back
Top Bottom