Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Mzee kakosa urefu wa kamba...Ningemwamini kama yeye angeweza kuonyesha democracy sehemu anazoongoza, lakini si hivyo na amekuwa mkabila kumlinda mtu wake
 
Huyu mzee mwenye sura mbaya mnafiki sana na kama kweli anaongea ndani ya nafsi yake kitu cha kwanza alitakiwa kujivua uanachama wa CCM kuonesha hakubaliani na hiki chama tena. Kwanini CCM? unajuwa chama ni kundi la watu wenye itikadi moja sio mtu mmoja mmoja, yeye hajawahi kusifu chama chake japo chama wamejaribu kumuheshimisha sana kama waziri mkuu aliyepita na kada wa CCM ila bado chuki binafsi na kuendesha upinzani ndani ya CCM, haaminiki huyu sasa ni wakati ajivue uanachama au avuliwe. Huwezi wewe kutwa unamkosoa mke wako lakini upo tu kwenye ndoa, kama mtu hakufai muache. Unafiki wake ufike mwisho huyu mzee anachuki na zaidi watoto zake kupigwa chini kwenye vyeo huku akidhani ni haki yake watoto zake kupewa nafasi.
Daaa! Mkuu umetsha saana yaan umechukizwa mpaka na sura alyoiumba mwenyez Mungu!?
 
Huu mfumo alianzisha Mama? au kaukuta. Kwanini asimtaje aliyeanzisha huu mfumo. Mama ni mwanachama wa CCM, chama kina maslahi yake na hakiwezi kuhatarisha afya ya chama kwa maamuzi ya mtu, Rais mwisho wa siku anatekeleza ilani za chama sio zake. CCM ni dude kubwa sio mtu mmoja.
Wewe akili huna kabisa, si ajabu hata tatizo la ufisadi na rushwa kukithiri utetezi wako utakuwa ni huu huu, kwamba rushwa haikuanzia kwa Samia hivyo yeye sio jukumu lake kukomesha rushwa
 
naomba nipewe japo judgement moja aliyoitoa warioba. nataka kurejea alishinda kes ngap
 
JIbu swali usijetekenye huyu mzee wako Mwanga hakuwepo? alisema nini? dalili za mnafiki ni hii moja wapo kuwa na sura mbili. Ni wazi chuki za huyu mzee huyu Mama kuwa Rais ndio linamkera mfupa uliomshinda yeye. SWALI ALIKUWA WAPI KUKEMEA, WAKATI LISSU ANAPIGWA ALIKUWA WAPI? WAKATI UCHAGUZI UMEIBIWA ALIKUWA WAPI? jibu huyu ndio tutaendelea. Zee jinga kubwa
Ndio maana nasemaga kwenye hicho chama Chenu wanachama wake wengi vichwani vyenu vimebeba makamasi badala ya ubongo, mtu mwenye akili timamu hawezi kuleta utetezi wa namna, kwamba kwa vile Kuna mtu aliwahi kufanya uovu wa aina hii huko nyuma na hakukemewa, basi tuache tu uovu huo ukiendelezwa na huyu mtawala wa Sasa na yeyote anayethubutu kukemea huyo ni mnafiki?? Jinga sana wewe

Yaani huyu mama yenu Yale mambo ya ajabu ajabu yaliyoachwa na mtangulizi wake ambayo yanamnufaisha na yeye ameamua kuyaacha kama yalivyo, halafu nyie wapuuzi mko hapa kumtetea na kujaribu kuamisha lawama kwa mtangulizi wake ilihali yeye ndio muhusika mkuu kwa sasa??? Mnatia hasira sana nyie
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
"Unabii" wako umetimia! Ingia mtandaoni uone wanavyochacharika kujaribu kuuzima moto wa mzee!
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Wewe Mtu Asiyejulikana una kipaji sana cha kuwa MC.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom